Mikopo ya Bajaji na Pikipiki ni komesha!

Mikopo ya Bajaji na Pikipiki ni komesha!

21 Mil Mzee.

Wakati wananiambia nilitaka kucheka ila nikakausha.
Ungetaka kucheka ungechekea tumboni ili kuwaonesha kwamba hesabu unazijua.

Nilifikaga ofisi fulani wanakopesha pikipiki, aise ni bora ukakope pesa benki ndio ukanunue ulipe benki mdogo mdogo kwa miaka miwili.
Sema tu watu wengi hawakidhi vigezo vya kukopa benki ndio maana makampuni ya kijanja yana-take advantage.
 
Leo nimepita Sabasaba nikaona kuna Kampuni fulani (Jina Kapuni) inatoa mikopo ya Pikipiki na Tukutuku.

Mjanja M1 nikajisogeza taratibu kuokota Dodo la mkopo wa Bajaji.

Lahaullah Walakuwata! nilishtuka sana kuambiwa marejesho ni zaidi ya ulichokopa, yani kama umekopa 1 Million wanakutaka urejeshe 21 Million.

Nikawaambia Asanteni sana na nikatoka Nduki mithili ya Hussein Bolt wa Jamaica.

WATOA MIKOPO WANAWAKOSEA SANA WATANZANIA.
Hata hiyo kurudisha mil 21 nayo ni msaada... kama huna any direction, ni bora hiyo!

Benki kwenye riba ndogo, hawataki masikini
 
Mm niliulizia Bajaji wakaniambia unarejesha 21 Million kwa Two Years mpaka nikataka kucheka.

Sijajua kuhusu Bodaboda, ila naamini wanacheza humohumo kwenye ukandamizaji.
Watu wana bills za kulipa sio mambo ya kuoneana huruma. Ukijichanganya hata jela utaenda Kwa kesi ya WIZI WA KUAMINIWA
 
Back
Top Bottom