Mikopo ya bank zetu

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,264
Reaction score
678
Jamani WanaJF nisadieni tokea nianza kazi kama miaka mitatu iliyopita sijawai kuapply mkopo wowote. Nimesadia wafanyakazi wangu wa chini kupata mikopo kutoka kwenye bank moja ambayo ndo uwa wafanyakazi wetu wanachukua mikopo. This time nimeamua kuapply since Jan 28 but mpaka sasa hivi wananizungusha mara head of credit anaapprove mara tutakupa jibu kesho but kesho haifiki. Mara wanaaudit Net yangu ya mshahara cjui wananiona
I need to make a move to see huyu head of Credit mana naona nazungushwa saana, Please wanaJF is this right move? Msaaada
 
Kwanza pole mkuu coz hizi taasisi zetu hapa bongo ni upompompo mtupu.

Pili kwa kua umekua ukishughulikia wenzako na wao je wamekua wakipewa hizo 'njoo kesho' ambazo haziishi kama wewe unazopewa?

Kama na wao wamekua wakizungushwa kama wewe basi hiyo benk ina matatizo makubwa sana. Na nakushaur onana uso kwa uso na huyo mkuu wao wa kitengo hicho cha loan na nakushauri pia kama una chance omba kuonana na hata branch manager uwaelezee uozo huo.

Na kama wenzako wamekua wakipata loans chap chap ila wewe unazungushwa jua kuna kitu wanashindwa kukuambia. Tell them they should b open to u. Mimi sijui mambo haya fresh lkn moja ya kikwazo huenda ikawa ktk mkataba wako imebaki miaka michache say 1 au 2. Sasa kama unataka kopa pesa pana kidogo wanaogopa hawa watu kukupa coz mtu aliebakiza miaka mingi mathalani mi 5 au 4 ktk mkataba wake anakua na advantage zaidi. Hii nayo hebu icheki.

Mwisho kabisa ungetuwekea openly jina la hiyo benki nasi walau tui-mark tu.
Asante
 
ni PM ni bank gani niwashugulikie haraka wanataka rushwa. Pia kuwa na evidence kweli u have stayed that long witjout ur facility been approved
 

Underlined, wenyewe waliapply in group hawakuapewa hizi pologo
Red: mkataba wangu ni permanent
Thanks for your advice
 
Hawa credit officers wengi ni tatizo sana kwenye kutoa mikopo. Wanataka kwanza wapate kitu kidogo ndio walikimbize file lako! Kama huna sifa za kupata mkopo wangekueleza muda mrefu na sio kukuzungusha! Ndio maana walimu wanakwenda kwenye hizi taasisi za 48hours credit kama Blue Finance, Platinum etc ambazo riba ni hadi 100%!
 
ni PM ni bank gani niwashugulikie haraka wanataka rushwa. Pia kuwa na evidence kweli u have stayed that long witjout ur facility been approved


Nimefika wakati nikataka niwape kitu kidogo but nimesita nataka niende kwanza kwanye mstari mnyoofu kwanza then ikishindikana naweza kufuata more action. wenyewe wanajitangaza kuwa wanatoa mikopo in 5working days but this one is the disaster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…