okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,738
Kwa muda wa miaka mitatu riba ni nafuu
Upo mkoa gani?
una muda gani kazini??
Ukikopo 5.5ml utalipa 11ml. Kwa ujumla hawafai hawa, kimbia
hivi kwa mfano ukakopa hiyo m 5 halafu ukafanikiwa kuwekeza kitu ambacho baada ya hiyo miaka mitatu kitakupa faida ya zaidi ya Hayo m 15 watakayokata,hasara iko wapi?
Ishu ni kuchukua mkopo kwa malengo na siyo kukurupuka
Kjana kimbia haraka sana! Hao siyo watu ni hatari, nenda NMB wanakopesha kwa barua ya ajira tu, kuna jamaa alikopa Mil 1.6 akarejesha mil 6, hawa jamaa hawafai hata kidogo
pesa unachukua kaka tayari usha qualify kwa huo muda.Miezi tisa,kuthibitishwa one year!