mawasiliano ya simu ni rahisi sana hata kwa meseji inatosha kukuelewesha na maswali yako kujibiwa hata kukuelekeza ukitaka kuja ofisini.
riba asilimia 30 ya mkopo.
mkopo utakaopata unakuwa nusu ya dhamani ya gari yako
Mfano gari yako ina dhamani ya milioni 50 unakopeshwa milioni 25.muda wa mkopo mwezi 1.
Baada ya mwezi 1 unarudisha milioni 32500000.
mikataba yote inasimamiwa na wanasheria.hakuna udanganyifu.
garama za kulipia valuation ya gari yako kujua dhamani yake unalipia wewe mwombaji mkopo.
aliyekuwa serious awasiliane na mimi namba 0713902202 nitamuelekeza atakuja ofisini na jina la ofisi atalijua .
We kijana wa Arusha unakijua unacho kisema hapa? Hivi niambie utafanya biashara gani wewe in one month upate more than 30% ya capital uliyoinject kwenye business? Wewe unacho sema ni kwamba;
Jan 1: Unanipa Tshs 1,000/=
Feb 1: Nakurudishia Tshs 1,000 + 30%*1,000=1,300!
Ukiacha hiyo hesabu hapo juu, natakiwa kugharimia initial costs like lawyer's fees, evaluation fees, stamp duty (1% ya contract value). So ukiziunganisha hizi costs, then ukacalculate THE EFFECTIVE INTEREST RATE itakuwa ni higher than 50%.
Pia hapo sija take into account the taxation effect!
So ilikuweza kuzilipa hizo gharama in one month, natakiwa kupata faida ya more than Tshs 1,000 kwa mwezi......this is super normal profit, ambayo sijui ni biashara gani inawezekana kama si UFISADI!
Bwana Sanya, hivi hiyo biashara ya hela mna kibali chochote kutoka BOT au mamlaka yoyote? wanajua kuwa mnawacharge watu 30% interest kama riba? na je, mmesajiliwa na BOT and BRELA?
No to any of these questions, means nyie ni wezi na matapeli!