TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Ni kweli.....japo ikija wanatakiwa kitangaza kwa watumishi woteImefichwa sn hii mikopo,si sawa.ipo kwaaajili ya wachache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli.....japo ikija wanatakiwa kitangaza kwa watumishi woteImefichwa sn hii mikopo,si sawa.ipo kwaaajili ya wachache
Ahsante mkuu VP kuhusu mtaaPost code, muulize HR au mkuu wako wa idara,.....house namba ninamba unayoishi, address ni chukua ya kazini kwako,
Duh hii safi Sana.Mwezi mmoja boss.....nimekunja mpunga wangu....mpunga Haina riba....unarudisha uliopewa....kifupi mshahara wako unapewa advance ya nusu ya mshahara wako....yaani unalipwa miaka SITA ijao nusu ya mshahara wako
Unaombaje hii mikopo kwa wale ambao wapo kwenye taasisi nyingine za umma mbali na halmashauri?Mim ilichukua miezi miwili, mpaka mzigo ukaingia
Mkuu wewe hujuii jina la mtaa wako???? Andika jina la mtaani kwenuAhsante mkuu VP kuhusu mtaa
Mzigo special kwa halmashauri....Huwa wanapewa kuanzia 400M, kwa kila halmashauriii.......na zinatoka hazina.Unaombaje hii mikopo kwa wale ambao wapo kwenye taasisi nyingine za umma mbali na halmashauri?
Nimesoma kwenye barua alizoattach mtoa madam kuwa hawanunui mkopo WA Bank.Wakikujibu naomba unitag na Mimi nahitaji kujua maana Nina kimeo nmb[emoji3064][emoji3064]
Post code ingia kwenye website ya TCRA.Nimekwama kujisajili kwenye mfumo wao,nafikiri kwenye postal code,house number na mengine