sunguramjinga
Senior Member
- May 11, 2023
- 175
- 227
Baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameomba uwepo wa majukwaa ya mara kwa mara yatakayolenga kutoa elimu ya utambuzi wa Taasisi sahihi za kifedha zinazotoa huduma za mikopo, ili waweze kujiepusha na Taasisi ambazo zimekuwa zikiwakopesha mikopo yenye riba kubwa na kuwasababishia madeni yasiyolipika.
Walimu hao wameyasema hayo katika mkutano maalumu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Mbozi, uliolenga kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo mikopo.
Chanzo: ITV
Walimu hao wameyasema hayo katika mkutano maalumu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Mbozi, uliolenga kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo mikopo.
Chanzo: ITV