lyaguchunya
Member
- Aug 18, 2020
- 56
- 409
Kama unaanza watahitajiNimevutiwa na hili. Hawahitaji statement ya uthibitisho kua ndio kadi halisi unayoingiziwa mshahara? Mikopo yao ina range ngapi mpaka ngapi? Vipi riba?
Mkuu husichoke maswali yangu naomba udadavue kidogo unipe mwanga.
salary slip
Bank statement
Shahidi na
Kadi yenyewe.
Wanaanza na 50000 mpaka hata 3m.
Inategemea na take home yako.
Muda wa kumaliza deni ni mwez mpaka mwaka.
Kopa kwa malengo
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app