chakarikamkopo
Member
- May 24, 2012
- 79
- 56
Wadau,
Kuna uwezekano mkubwa wa kupunguza umaskini wa kipato kwa wakazi wa mkoa wa pwani endapo watawezeshwa kupatiwa mpenyo wa kupata huduma za kifedha kwa ajili ya kununua pembejeo za kilimo na utaalamu wa uzalishaji mazao hasa ya muda mfupi. Katika utafiti wangu kama mtaalamu wa mambo ya fedha nimebaini kuwa mikopo midogo midogo inaweza kuwasaidia hasa vijana wanaochakarika na kilimo cha matunda na mbogamboga
Nina hitaji msaada kwa mtaalamu wa uandishi wa miradi midogo midogo ya kilimo ili tuweze kushirikiana katika hili. Hata kama sio kushirikiana nina hitaji mtaalamu mwelekezi ambaye anaweza kuniandikia andiko la mradi. Tafadhali nitumie ujumbe au nitumie kwa email chakarikamkopo@yahoo.com
Asante.
Kuna uwezekano mkubwa wa kupunguza umaskini wa kipato kwa wakazi wa mkoa wa pwani endapo watawezeshwa kupatiwa mpenyo wa kupata huduma za kifedha kwa ajili ya kununua pembejeo za kilimo na utaalamu wa uzalishaji mazao hasa ya muda mfupi. Katika utafiti wangu kama mtaalamu wa mambo ya fedha nimebaini kuwa mikopo midogo midogo inaweza kuwasaidia hasa vijana wanaochakarika na kilimo cha matunda na mbogamboga
Nina hitaji msaada kwa mtaalamu wa uandishi wa miradi midogo midogo ya kilimo ili tuweze kushirikiana katika hili. Hata kama sio kushirikiana nina hitaji mtaalamu mwelekezi ambaye anaweza kuniandikia andiko la mradi. Tafadhali nitumie ujumbe au nitumie kwa email chakarikamkopo@yahoo.com
Asante.