Mikopo ya ujenzi, kununua na kukarabati nyumba sasa inapatikana crrd mpaka 500mil.

Mikopo ya ujenzi, kununua na kukarabati nyumba sasa inapatikana crrd mpaka 500mil.

Mkuu usidanganye watu ukafikiri hawajui thamani ya pesa.
Interest rate ya mkopo kwa 18% ni wizi wa mchan, wakati inflation rate ni chini ya 7% leo hii.
Sasa hiyo riba ina cover risk gani na ni kwa nini.
No wonder mabenki karibu yote yana fedha ya kukopesha ambayo haina wateja.

Are you really sure that the Country's inflation rate is below 7%??????????!!!!!!!!!!!!!!! Au unaota unadhani zama hizi bado ni zile za Utawala wa Mhe. Mkapa?
 
Likewise nyumba ya 20m ya leo in 20 years haitakuwa na thamani ya 20m

Have you considered both financial as well as psychic benefits of occupying a house for a period of 20 years? How much are they if you are to quantify?!
 
Have you considered both financial as well as psychic benefits of occupying a house for a period of 20 years? How much are they if you are to quantify?!

I don't know.........you tell me......what I know is my late father bought a house for TZS 32,000 in 1976 (with THB loan) and I have lived in that house until somebody bought it in 2006(and I never became a psychopath living in it) for TZS 468,000,000.....HOW ABOUT THAT?
 
Huwa nasikia kuna interest at reducing rate na interest at fixed rate hasa kwenye masuala ya mikopo. Ninaomba kujulishwa hizo terms mbili kwa huo mkopo wa tujijenge- crdb wenyewe wana rely kwenye lipi? Pia naomba atakayekuwa na majibu atufafanulie hizo terms mbili. Tunahitaji kufahamu mengi kabla hatujaamua kuchukua mkopo. Watoa mikopo hawaelezi kwa kina zaidi ya kukuambia interest yetu ni 18%. OMBI:
Ninaomba serikali itusaidie kuzungumza na wamiliki wa benki ili waingie mkataba na benk hata kama ni benk moja waangalie uwezekano wa kupunguza hiyo riba hata ikifika 10-12%. Ili kuwasaidia tabaka la chini ambalo ndiyo hasa hawana hata nyumba za kuishi waweze kumiliki hata vibanda vya kuishi.

Kuna kampuni inaitwa WAT nasikia wanajishughulisha kujenga nyumba, yaani wanakujengea then unawalipa taratibu. Ila sifahamu vizuri utaratibu upoje. Kama kuna member anafahamu vizuri atuhabarishe maana kwa kweli kupanga kunachosha ni basi tu.
 
Sekta ya ujenzi wa nyumba imezidi kupata ahueni baada ya Benki ya CRDB kuzindua mkopo maalumu kwa ajili ya ujenzi wa nyumba uitwao ‘Jijenge’, utakaokuwa mfumbuzi wa tatizo la changamoto zinazowakabili Watanzania katika ujenzi wa nyumba. Jijenge inatarajiwa kutatua tatizo la ujenzi wa nyumba, ununuzi wa vifaa vya ujenzi au ukarabati wa nyumba ambapo watu binafsi huwachukua hata miaka 10. Tofauti na mkopo wa nyumba wa awali uliokuwa ukilipwa kwa miaka mitano, mkopo wa Jijenge utalipwa kwa kipindi cha miaka 20, kwa riba ya asilimia 18 na asilimia 1 ya mkopo ikiwa ni kwa ajili ya bima. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango huo Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk Charles Kimei alisema wakati umefika kwa Watanzania kuishi maisha marefu ndani ya nyumba zao wenyewe kwa amani. “Kumiliki nyumba kunatosheleza hitaji muhimu sana la mwanadamu na kumpa heshima na utulivu wa fikra na maisha. Nyumba bora ni hitaji la muhimu kabisa kwa binadamu kama ilivyo chakula na mavazi. Jijenge pia itawahudumia wale watakaohitaji mkopo huo kwa ajili kukarabati nyumba,” alisema Dk Kimei. Kimei alisistiza kuwa mkopo huo utawafaa wafanyakazi wasio na kima cha chini ya 200,000, wafanyabiashara, wakulima na wavuvi, hata hivyo alibainisha kuwa ni nyumba 15,000 tu zinajengwa kwa mwaka tofauti na hitaji la nchi. Alisema kumekuwa na changamoto nyingi zinazokwamisha ujenzi nchini ikiwemo kupanda kwa gharama za kumiliki ardhi, gharama za vifaa vya ujenzi na kukosekana kwa mfumo thabiti wa kifedha wa kusaidia sekta hiyo.

Katika picha: Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk Charles Kimei, akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango huo

hiyo ni mikopo ya viongozi mtu wa chini hata ufanye kazi mika 20 uchanganye na kiinua mgongo huwezi kulipa hilo deni,serikali hii haiko kuwasaidia watu wa hali ya chini,cha maana ni kuipiga chini tu, ifikapo2015
 
Are you really sure that the Country's inflation rate is below 7%??????????!!!!!!!!!!!!!!! Au unaota unadhani zama hizi bado ni zile za Utawala wa Mhe. Mkapa?
Mkuu msiwe mnazamia katika blog za udaku tu, hebu jiridhishe kwa kupitia NBS-National Bureu of Statisics na utaambiwa rate of inflation kwa sasa hivi ni around 6.3% na habari hii ilikuwa magazetini wiki iliyopita.

Muwe mna soma na mambo ya maana.
 
Back
Top Bottom