Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Wakuu, kwa muda mrefu kulijitokeza GENGE hapa likijinasibu na kusifu kwamba Rais Samia ametoa bilioni 20 kwaajili ya kuwakopesha vikundi vya Wavuvi.
Baada ya kuwafuatilia vijana wetu ambao wanajishughulisha na kazi za uvuvi katika maeneo mbali mbali, tumebaini HAKUNA KIKUNDI CHOCHOTE kilichopokea pesa hiyo hadi sasa. Na hata vijana wenyewe hawajui kama kuna uwepo wa mikopo hiyo, hawajaelezwa popote.
Waziri mwenye dhamana alitumika tu kwenye hizi blah blah za hawa WEZI wa pesa zetu kupitia TOZO HARAMU? Ama ulikuwa ni mpango wa Serikali kuzimisha mijadala ya kupinga tozo?
theworldnews.net
Baada ya kuwafuatilia vijana wetu ambao wanajishughulisha na kazi za uvuvi katika maeneo mbali mbali, tumebaini HAKUNA KIKUNDI CHOCHOTE kilichopokea pesa hiyo hadi sasa. Na hata vijana wenyewe hawajui kama kuna uwepo wa mikopo hiyo, hawajaelezwa popote.
Waziri mwenye dhamana alitumika tu kwenye hizi blah blah za hawa WEZI wa pesa zetu kupitia TOZO HARAMU? Ama ulikuwa ni mpango wa Serikali kuzimisha mijadala ya kupinga tozo?
Neema Yawashukia Wavuvi Jijini Mwanza, Serikali Yatenga Fedha za Mikopo
Neema Yawashukia Wavuvi Jijini Mwanza, Serikali Yatenga Fedha za Mikopo August 22, 2022 by Peter Mabere SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kup