Kwan Kuna mtu kaibiwa??
Sijaona unachotaka kujua manaumeshafunguka kwamba wanavaa fekifeki,xo itifaki izingatiwe wakati unapost hoja Zako..?!naomba tu kujua.Je, ni dhahabu kweli? Kama si kweli kwanini wanajiweka level wasizoweza kwa kuigiza wasichonacho? Hata huyu anaejiita Dangote na yeye anapiga mafekifeki japo anamix na original.
Msaidie kupata konekshen kwa mondo,labda ndo msaada anaohitaji kwa wanajamii japo alishindwa kujieleza kwa lugha ya moja kwa moja..kweli anahitaj msaada..?!​Bila shaka wewe ni sonara,Diamond kakusikia atakupa kazi ya kumtengenezea original.
Huku kwetu wapo,kwani huko kwenu vipKwan Kuna mtu kaibiwa??
Hahahahahaha" thomasss