Mikutano mingi na Mayele ya nini?

Mikutano mingi na Mayele ya nini?

HPAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
410
Reaction score
567
Klabu ya Yanga imekuwa na mfululizo wa mikutano na mchezaji wao Mayele, mchezaji ambaye tumeaminishwa bado ni hatimiliki ya Yanga kwa mwaka mmoja ujao. Hivyo basi Yanga ina mamlaka ya kumtumia Mayele kwa mshahara wanaomlipa sasa kwa mwaka mmoja ujao. Na walishafanya hivyo kwa Fei Toto kwani walikuwa wanammiliki wao.

Yanga kama bado wanahitaji huduma ya Mayele ni kuzieleza timu zote zilizoleta offer kwamba Mayele hauzwi, na mawakala wa Mayele nao waelezwe hauzwi kwa bei yoyote na Mayele atatumikia mkataba wake kwa mwaka mmoja ujao.

Endapo Mayele anataka kuongezewa mshahara sasa hivi, kwa kuaminini kuwa thamani yake imeongezeka, Yanga ndio wameshikilia mpini, wanaweza kukubali au kukataa, na maamuzi yoyote Yanga watakayo chukua hayawezi kuvunja mkataba kama kweli wana mkataba naye.

Endapo Yanga itahitaji huduma ya Mayele baada ya mkataba wake Kwisha, itabidi Yanga imwage mpunga mrefu wa kushindana na waarabu, kwani Mayele mwenyewe amesema Wa Congo wanapenda pesa.
 
Mayele akitaka uto wapangiwe zamu ya kumuogesha, inawezekana
Beki lenu.
P-IMG-20230709-WA0019.jpg
 
Hii inaonesha Mayele hana mkataba na Yanga ndio maana Yanga inahaha mno jinsi ya kumbakiza. Angekuwa na mkataba wangesema timu yoyote ije mezani na 1B imchukue, hata kusingekuwa na longolongo
 
Klabu ya Yanga imekuwa na mfululizo wa mikutano na mchezaji wao Mayele, mchezaji ambaye tumeaminishwa bado ni hatimiliki ya Yanga kwa mwaka mmoja ujao. Hivyo basi Yanga ina mamlaka ya kumtumia Mayele kwa mshahara wanaomlipa sasa kwa mwaka mmoja ujao. Na walishafanya hivyo kwa Fei Toto kwani walikuwa wanammiliki wao.

Yanga kama bado wanahitaji huduma ya Mayele ni kuzieleza timu zote zilizoleta offer kwamba Mayele hauzwi, na mawakala wa Mayele nao waelezwe hauzwi kwa bei yoyote na Mayele atatumikia mkataba wake kwa mwaka mmoja ujao.

Endapo Mayele anataka kuongezewa mshahara sasa hivi, kwa kuaminini kuwa thamani yake imeongezeka, Yanga ndio wameshikilia mpini, wanaweza kukubali au kukataa, na maamuzi yoyote Yanga watakayo chukua hayawezi kuvunja mkataba kama kweli wana mkataba naye.

Endapo Yanga itahitaji huduma ya Mayele baada ya mkataba wake Kwisha, itabidi Yanga imwage mpunga mrefu wa kushindana na waarabu, kwani Mayele mwenyewe amesema Wa Congo wanapenda pesa.
Terms za mkataba wake unazijua?
Unajua kinachompa Mayele kiburi kutokana na mkataba wake.

Nb: ukitaka kuongea haya na ukaeleweka zungumzia mkataba wake na kwanini anapata nguvu ya kubembelezwa.
 
Klabu ya Yanga imekuwa na mfululizo wa mikutano na mchezaji wao Mayele, mchezaji ambaye tumeaminishwa bado ni hatimiliki ya Yanga kwa mwaka mmoja ujao. Hivyo basi Yanga ina mamlaka ya kumtumia Mayele kwa mshahara wanaomlipa sasa kwa mwaka mmoja ujao. Na walishafanya hivyo kwa Fei Toto kwani walikuwa wanammiliki wao.

Yanga kama bado wanahitaji huduma ya Mayele ni kuzieleza timu zote zilizoleta offer kwamba Mayele hauzwi, na mawakala wa Mayele nao waelezwe hauzwi kwa bei yoyote na Mayele atatumikia mkataba wake kwa mwaka mmoja ujao.

Endapo Mayele anataka kuongezewa mshahara sasa hivi, kwa kuaminini kuwa thamani yake imeongezeka, Yanga ndio wameshikilia mpini, wanaweza kukubali au kukataa, na maamuzi yoyote Yanga watakayo chukua hayawezi kuvunja mkataba kama kweli wana mkataba naye.

Endapo Yanga itahitaji huduma ya Mayele baada ya mkataba wake Kwisha, itabidi Yanga imwage mpunga mrefu wa kushindana na waarabu, kwani Mayele mwenyewe amesema Wa Congo wanapenda pesa.

Sikia hii,inasemekana katika mkataba wake uliopo kuna kipengele ambacho kinamruhusu kuondoka kama kuna team inafikia matakwa ,yaani team ikitokea inafika bei na maslahi binafsi ya mchezaji akavutiwa nayo kipengele hiko kinamruhusu kuondoka ,hiko kipengele kinampa mayele nguvu kubwa kuliko yang kwa muda huu,either wakubaliane maslahi zaidi aongeze mkataba au aondoke kufuata maslahi zaidi
 
Sikia hii,inasemekana katika mkataba wake uliopo kuna kipengele ambacho kinamruhusu kuondoka kama kuna team inafikia matakwa ,yaani team ikitokea inafika bei na maslahi binafsi ya mchezaji akavutiwa nayo kipengele hiko kinamruhusu kuondoka ,hiko kipengele kinampa mayele nguvu kubwa kuliko yang kwa muda huu,either wakubaliane maslahi zaidi aongeze mkataba au aondoke kufuata maslahi zaidi
Kama anazingua waachane naye watafute pori jingine
 
Acha uzushi
Mayele yupo Sana yanga
Subiri huyo beki wenu pazia habari ataipata
Mayele atawatia mimba tena
 
Yanga ndio wameshikilia mpini, wanaweza kukubali au kukataa, na maamuzi yoyote Yanga watakayo chukua hayawezi kuvunja mkataba kama kweli wana mkataba naye.
Sifa ya mbongo ni kupewa kichwa cha habari then mengine muachie. Unaropoka tu.
 
Hii inaonesha Mayele hana mkataba na Yanga ndio maana Yanga inahaha mno jinsi ya kumbakiza. Angekuwa na mkataba wangesema timu yoyote ije mezani na 1B imchukue, hata kusingekuwa na longolongo
Mbappe hakua na mkataba na PSG?
 
Back
Top Bottom