Mikutano ya CCM ruksa pamoja kuna Uviko-19. Wapinzani wanazuiwa

Mikutano ya CCM ruksa pamoja kuna Uviko-19. Wapinzani wanazuiwa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.

ccm.jpg
 
Corona huwa hazishiki kwenye nguo za kijani na mikesha ya mwenge.
 
wananchi juzi tulifanya sherehe yetu kwa mkapa na hakuna aliyekuwa na akili za kuhofia dili za watu eti sijuhi kuna korona wala dada yake koroma. Korona mwambieni huyo bibi na hakuna kuchanjwa wala mjomba wake chanjo.
 
Mkuu ukiyafikiria sana ya nchi hii unaweza pata vidonda vya tumbo maana kuna vitu hata mtoto wa darasa la pili ukimuuliza atakujibu si sawa ila sasa ndo watu wazima wanavifanya.
 
Hahahaha Naona unajaribu kutengeneza credibility kwamba wwe ni upinzani ili kesho ukikosoa uonekane ni mpinzani uliye objective/rational.
Kama kuna ambao hawamjui huyu ni mataga parody la Lumumba watakuwa vilaza sana.
 
Polisi-CCM hapa watatoa ulinzi na hata maji ya kunywa watawabebea
 
Ndio maana watu wana chuki dhidi ya watu fulani wenye mamlaka.

Ukaburu si rangi bali ni matendo.
 
Yaani Ni suala la muda tu... Mungu haya matendo yanamchukiza Sana. Kuna siku Mungu ataigeuza CCM miguu juu kichwa chini sababu baadhi ya matendo yake yanamchukza hata yeye.
Ma-CCM hata aibu hayana.
 
Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.

Kuna mambo tunacheza nayo, lakini ninaposoma literature mbalimbali mambo tunayocheza nayo sehemu zingine yamesababisha matatizo makubwa na hatuonekani kujifunza.
 
Back
Top Bottom