Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hahahaha Naona unajaribu kutengeneza credibility kwamba wwe ni upinzani ili kesho ukikosoa uonekane ni mpinzani uliye objective/rational.
Huyu mama amelewa full time siku hizi.
Unatambua vyema kuwa mimi ni mpinzani objective.Hahahaha Naona unajaribu kutengeneza credibility kwamba wwe ni upinzani ili kesho ukikosoa uonekane ni mpinzani uliye objective/rational.
Sikio la kufa.........malizia mwenyewe. .
Kama kuna ambao hawamjui huyu ni mataga parody la Lumumba watakuwa vilaza sana.Hahahaha Naona unajaribu kutengeneza credibility kwamba wwe ni upinzani ili kesho ukikosoa uonekane ni mpinzani uliye objective/rational.
Huna akili kabisa, fool.Kama kuna ambao hawamjui huyu ni mataga parody la Lumumba watakuwa vilaza sana.
Ma-CCM hata aibu hayana.Yaani Ni suala la muda tu... Mungu haya matendo yanamchukiza Sana. Kuna siku Mungu ataigeuza CCM miguu juu kichwa chini sababu baadhi ya matendo yake yanamchukza hata yeye.
Kuna mambo tunacheza nayo, lakini ninaposoma literature mbalimbali mambo tunayocheza nayo sehemu zingine yamesababisha matatizo makubwa na hatuonekani kujifunza.Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.