Mila za wahaya

Mila za wahaya

Duh naona hii thread imevamiwa na wahaya. Bepari wao siui yupo humu.
 
Ngoja tumsaidie kwa kuweka hizi zinazoonyesha wanacheza ngoma😀
i850_IGP2170edit..jpg
 
Wahaya zamani zile hawakuwa na glass wala bakuli hivyo kama picha inavyoonyesha huyu mtu anakunywa pombe yake kupitia jani la mgomba lililokunjwa kiaina-aina. Wao wanaita Kitegela.

Naona na wahaya wa zama hizi wanaendeleza mila.........
Hata kwa kula linatumika kama bakuli ya mboga😀

i851_Kitegela.jpg
 
Nanye tinabona kantu konakona!
Nkizoka abandize ethiredi egi abaile nayenda kuhulila abahaya tulagambaki, mbwenu tumshale tutaandika lushwahili anga lungereza, tuandike akomuka tushulane, tumanyisangane amakuru, tutegeke.Nimbeiya waitu?
 
Back
Top Bottom