Milan vs Inter....Della Madonina

Gang Chomba

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,649
Reaction score
4,786
Ni ktk mechi ya pili ya ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A.
Milan tuko mbele ya Inter kwa tofauti ya pointi mbili.
Mechi ya kwanza iliyokuwa chini ya Inter, tuliweza kuwafunga kwa Goli 1-0 goli lililofungwa na mshambuliaji Zlatan Ibracadabra.

Mungu ibariki Milan.
 

Mkuu lini. I wish iwe leo, niko bored sina la kufanya
 
Game itakuwa saturday 2/april,time ni 19:45 cet..Internazionale itakuwa bila ya beki wake wa kati Lucio ambaye ni suspended na beki mwingine wa kati Andrea Ronocchia faces late fitness test...AC Milan hawatokuwa na Zlatan ambaye ni suspended
 
Game itakuwa saturday 2/april,time ni 19:45 cet..Internazionale itakuwa bila ya beki wake wa kati Lucio ambaye ni suspended na beki mwingine wa kati Andrea Ronocchia faces late fitness test...AC Milan hawatokuwa na Zlatan ambaye ni suspended

Milan pia hawatokuwa na viungo Andreas Pirlo, nahodha Massimo Ambrosini, na mshambuliaji nguli mwenye uwezo wa kubadili matokeo muda wowote Super Pippo ambaye amebakiza siku 17 aje kutupa ndoo ya scudeto.

Forza Milan
 
Mambo ishakuwa mambo, naona AC wanaongoza...defence ya Internazionale iko shaky kiaina.
 
forza Milan...
Dakika ni ya 17 na Inter hawana mipango zaidi ya kushika mipira tu uwanjani
 
pato anapata nafasi muntirib lakini anashindwa kuitumia
 
midfield General mark van Bommel anapiga shuti ninalokwenda kula mtambaa wa Panya
 
eto'o katukosa la wazi hata Hiza Tambwe angefunga
 
half time sasa na Milan wanaondoka kifua mbele
 
cha pili kimeanza sasa...ni ubabe na undava
 
dikteta wa kiungo Ivan Gattuso kaumia na amekwenda kupumzika.
Sasa nafasi yake imechukuliwa na Brigadia Generali Mathew Flamini
 
chivu anakula Nyekundu ya halali kabisa...inter sasa wako 10.

Pandev anatolewa sadaka na Cordoba anaingia kuziba nafasi
 
Game over... Inter hawawezi kurudi kwenye hii mechi.
 
milan 3-0 Inter

Niwarudisheni Barabara ya Pugu kwake Nazir Mayoka kwa ajili ya matangazo mengine
 
robinho alitoka na akaingia Casano ambaye ndie alifunga goli la 3.
kwa kifupi Milan leo wamecheza Mazoezi...coz Inter waliutafuta kwa tochi na kalabai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…