Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Ni ktk mechi ya pili ya ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A.
Milan tuko mbele ya Inter kwa tofauti ya pointi mbili.
Mechi ya kwanza iliyokuwa chini ya Inter, tuliweza kuwafunga kwa Goli 1-0 goli lililofungwa na mshambuliaji Zlatan Ibracadabra.
Mungu ibariki Milan.
Milan tuko mbele ya Inter kwa tofauti ya pointi mbili.
Mechi ya kwanza iliyokuwa chini ya Inter, tuliweza kuwafunga kwa Goli 1-0 goli lililofungwa na mshambuliaji Zlatan Ibracadabra.
Mungu ibariki Milan.