Milango 7 ya Baraka kwenye Maisha ya Mwanadamu

Milango 7 ya Baraka kwenye Maisha ya Mwanadamu

Hili la mlango eneo Ata Mimi imenitokea Sana. Nikiishi vijijini Mambo yangu yanaenda vizuri Sana Ila Nikiishi Mjini Mambo yanakuwa magumu Kwetu Dar Ila kwa sasa nipo Dodoma vijijini nakunywa komoni maisha mazuri kabisa Kama mwana Kijiji wa huku.
Wewe kama mimi nina allergy na Dar,ila sijui nifanyeje ili nichomoke...
 
Wewe kama mimi nina allergy na Dar,ila sijui nifanyeje ili nichomoke...
Pole mkuu,
Kwanza jaribu kupaombea Dar upapende, ukipapenda napo patakupenda na patakuachia uondoke kwa urahisi na kwenda kufanikiwa sehemu nyingine, tujifunze kuyasemesha Mazingira yatupe wokovu, imeandikwa Isaya 45:8 Na nchi ifunguke itoe wokovu, ichipue na haki pia vikamee pamoja
 
ushirikina kwenye dini...
Sio ushirikina huu haya ni Maarifa ya kiroho kukufanikisha kwenye ulimwengu wa mwili imeandikwa "Watu wangu wanaangalia kwa kukosa Maarifa" Maarifa ni wokovu sio ushirikina
 
Tupo duniani kwa kusudi hatuko kwa Bahati mbaya
 
Back
Top Bottom