Milango ya kupanga katika fremu zilizopo King'azi Maramba Mawili Dsm

Milango ya kupanga katika fremu zilizopo King'azi Maramba Mawili Dsm

Miaka 5 mbeleni kutakuwa na biashara sana maeneno hayo.

Bila shaka umeme wameshamalizia kipande hicho kuweka.


Vipi na mradi wa Muhimbili ndogo unaendelea pande hizo?



Tarajia ugeni.
Jina langu lipo kwenye listi ya watu watakaowekewa umeme ndani ya wiki moja!

Mradi wa Muhimbili unaendelea vizuri.
Hata mimi nilikuwa nime-target mradi huo wakati nanunua kiwanja hapo.
Unajua tena, in real estate LOCATION is everything!@binjo
 
Jina langu lipo kwenye listi ya watu watakaowekewa umeme ndani ya wiki moja!

Mradi wa Muhimbili unaendelea vizuri.
Hata mimi nilikuwa nime-target mradi huo wakati nanunua kiwanja hapo.
Unajua tena, in real estate LOCATION is everything!@binjo
Kama kosea kuoa uone utamu wa ndoa.


Wajanja wanaojua biashara hapo watapafanyia kazi.


Maana nimeona fremu moja MTU anaweka vifaa vya ujenzi,vyakula,CD za movie

Yaani haelewi mini anataka UMEME ukikamilika tutakuja pande hizo japo changamoto kubwa Kifuru kwenda Malamba Maji ni changamoto kumbwaa.
 
Back
Top Bottom