Milano Derby...

Doswe Dossena

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
314
Reaction score
557
.
Miaka kadhaa ya nyuma ukiskia kuna game kama ya hivi leo AC Milan vs Inter Milan.. basi hizi game zetu uchwara za kina Man City vs Chelsea & Barca bs Atletico huwa hazina nafasi kwiki hiyo kutokana na uwepo game hili la kitemi 'Milano Derby'.
lakini zilikuwa ni Milano hzo za miaka ya nyuma zilizokuwa na nyota kama..
Maldini.
Nesta.
Cafu.
Serginho.
Gattuso.
Pirlo.
Seedorf.
Rui Costa.
Kaka.
Inzaghi.
Shevcenko.... AC MILAN.

INTER MILAN..
Toldo.
Cordoba.
J Zanetti.
Kily Gonzalez.
Stankovic.
Tiago Motta.
Milito.
Cambiasso.
 
Reactions: Lee
Dah kerli imechuja mi ndo najua kina hill gem Leo na ilikuea ni big mech sana. Ya Roma na Napoli imevuma zaidi yao
 
Maarufu kama Derby della Madonnina

Zamani ungeweza kumpata Mchezaji bora wa Dunia miongoni mwa hizo timu mbili. Maisha yameisha kasi sana leo hii imekuwa Derby ya kawaida sana. Siku hizi derby hii inazidiwa ubora hata na mechi baina ya Burnley Vs West Ham.

Nyakati zimekwenda wapi? Ama kweli nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.
 
Mimi mwenyewe nimeona zimeahirishwa.

Msiba wa nani huo mpaka game zinasimama...?
Davide Astori- Fiorentina captain and Italy international footballer amekutwa amefariki katika chumba chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…