Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Uchafu wa nini?

Siungi mkono ushoga lakini kusema uchafu, lazima udadavue uchafu gani?

Je mapenzi ya jinsia tofauti ni usafi?
Kama unaona sio uchafu nenda kayafanye

Unauliza maswali ya kijinga

Yaani wewe unaona kiasilinni sawa mwanaume kufanya ngono mwanaume au mwanamke kufanya ngono na mwanamke
 
Kama unaona sio uchafu nenda kayafanye

Unauliza maswali ya kijinga

Yaani wewe unaona kiasilinni sawa mwanaume kufanya ngono mwanaume au mwanamke kufanya ngono na mwanamke
Umepaniki bure mdau.
Hakuna swali la kijinga hapo, umesema neno 'uchafu' ulitakiwa kujibu sasa kama kufanya ngono jinsia tofauti(mwanamke na mwanaume) kama ni usafi, full stop.
 
Unatoa uhai kwa ujira wa laki name..
Kuna mtu juzi kafungua thread anawaambia umuhimu wa kuwa na silaha ukiwa mkoa wa mwanza maana mauaji ni dakika tu.
Mtu hata akipewa laki kamponde tofali la kichwa Fulani fasta anakuja.inasikitisha
wasukuma hawana dini. dini kwao geresha. ni watu katili sana wanajificha kivuli cha uungwana wa machoni
 
Shukrani b... Haya, tuisubiri hiyo siku utakayoshushiwa neema ya kutuandikia yaliyojiri kwenye kifo cha Kanumba.
Natamani kufahamu kiundani, najua utaandika ambayo hatujawahi kuyasikia.
leo ndio umeona umuachie? hata asitupostie maana utamu ukitukolea huku wewe utatia kitumbua mchanga mtauvuruga au tuelewane mmalizane na mahaa yenu kabisa akipost apost moja kwamoja mambo ya kusubirishwa kama njia ya mtoto ifunguke atoke hatuwezi japo sjatumwa lakini naiwakilisha ile kamati ya roho mbaya
 
unaweza kusympathise mauaji kumbe mtu aliuanza ubaya. kuna jamaa fulani miaka ya nyuma alimdhulumu jamaa yangu milioni 12 huku akimtolea maneno ya kishujaa. akaja kuwekewa mtego akajaa. kilichotokea nikajua kila mtu ana ukatili ndani yake. waliokua hawajui walimuonea sana huruma jamaa na alikua hasemi ukweli wa mambo wa yeye kutendewa alichokuja kutendewa.
ukiachilia ujambazi,...mauaji mengi yana uwalakini mkubwa sana ndani yake,.....binadamu ni majeuri sana,.....dawa ni kudili nao in another means,.....
 
ukiachilia ujambazi,...mauaji mengi yana uwalakini mkubwa sana ndani yake,.....binadamu ni majeuri sana,.....dawa ni kudili nao in another means,.....
100%. mfano mwingine si mwarabu wa Tanga waliyemuua na familia yake wakaua mke na dada wa kazi. aliwadhulumu wadau mambo ya madini. sema walizingua kumuua mke na mdada wa kazi. wangedili na mhusika pekee
 
100%. mfano mwingine si mwarabu wa Tanga waliyemuua na familia yake wakaua mke na dada wa kazi. aliwadhulumu wadau mambo ya madini. sema walizingua kumuua mke na mdada wa kazi. wangedili na mhusika pekee
Hii ndio inayofanya tuwe makini katika kuchagua watu wa kuwa nao karibu,..,.... kwanzia marafiki mpaka wapenzi,...
 
Waliomfata Milembe lodge na kwenda nae mpaka eneo la mauaji ni Genja,Masumbuko na Buchuchu.Wakati Genja anamkata mapanga Milembe,waliokuwepo ni Masumbuko na Buchuchu.Masumbuko na Buchuchu pia walikuwepo kwenye kikao cha kupanga mauaji kilichofanyika Sengerema.Kinachonishangaza ni hawa watu wawili wamenusurikaje.Watu wa sheria mtakuwa mnajua.Tuelewesheni tusioelewa
 
Back
Top Bottom