Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Kama pesa utalipwa.ungetulia kwanza uandike vizuri , kuliko huu upuuzi uliotuandikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HADI KUJIBU UMEELEWA, SEMA UBONGO WA NYUMBU HAUJITAMBUI.Kama pesa utalipwa.ungetulia kwanza uandike vizuri , kuliko huu upuuzi uliotuandikia
True walahiMbowe anaongoza mazezeta acha ayapige tu! Kazi kusikiliza umbea wa mange
taarifa tofauti ni kuwa huo ni UZUSHI UZUSHI TENA UZUSHI KALIPWA JE HAKUFANYA HIYO KAZI WEWE HUKULIPWA KWA KUWA HUKUIFANYA NIYO KAZI je mahakama ya mafisadi imefungwa au ndio ...... bac sawawewe unasema uzushi, tupe taarifa tofauti na hii, otherwise muwajibike.
Nijibu kwani kuna ulichoandika? Mi mwanzo nilidhani mtume Deo Kisandu.HADI KUJIBU UMEELEWA, SEMA UBONGO WA NYUMBU HAUJITAMBUI.
Baada ya kuifanyia kazi wao ni kubisha tu!wewe unasema uzushi, tupe taarifa tofauti na hii, otherwise muwajibike.
Usitoke kwenye context.Basi nchi hii tuna bahati mbaya. Kama kweli CDM kuna mazezeta, nadhani mazezeta zaidi wako upande mwingine, kiongozi hajui Kiswahili, hajui Kiingereza sasa mnajuaje kama anajua mambo mengine? Nyie ndo Mazezeta squared
Mbowe ajitathimini. Akae kando uchunguzi ufanyikeNisengependa kuweka siasa hapa. Lakin ningependa kukuuliza nini kifanyike sasa?
Ndugu, Si usome ripoti ya CAG?Zimelipwa kwa shughuli/kazi gan ?? lete maelezo kamili, je kias kilicholipwa hakilingan na kazi waliyofanya ? Kaa utulize akiri na uandike vizuri.
Mleta mada atakuwa kapigwa kibuti na huyo mrembo anayemwita managing director sasa amekuja kumaliza stress zake humuMbowe anayejua hadi kijapani kasaidia nini chadema tofauti na kula ruzuku?
kabisa hii ni kashfa kubwa tena sana.Mbowe ajitathimini. Akae kando uchunguzi ufanyike