Tetesi: Milestone International Co. Ltd iliyolipwa Milioni 866.6 ni kampuni ya Mbowe inayosimamiwa na shemejiye Kineneko Mtei

Tetesi: Milestone International Co. Ltd iliyolipwa Milioni 866.6 ni kampuni ya Mbowe inayosimamiwa na shemejiye Kineneko Mtei

Status
Not open for further replies.
Shu
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.

Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.

Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.

Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.

Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Shut up, Mbowe ni mfanya biashara, mwanaisha. Kama fedha imelipwa Kihalali kwa huduma kampuni yake iliyotoa, hakuna tatizo. Naomba ufuatilie issue ya Lugumi
 
Acha hizo!!! Nani alikudanganya mie nafagilia mwizi/fisadi kwa vile yuko Chadema!? Uwe unanisoma kwa makini. Kama kuna wizi basi sheria iachwe ifuate mkondo wake.
Mmh!! Hahah mkuu.

Kutoka moyoni?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shu

Shut up, Mbowe ni mfanya biashara, mwanaisha. Kama fedha imelipwa Kihalali kwa huduma kampuni yake iliyotoa, hakuna tatizo. Naomba ufuatilie issue ya Lugumi
Kwaiyo sawa sawa kutoa mfuko mmoja kuamishia mfuko mwingine wa suruali hiyo hiyo?
 
Sinaga unafiki mie kwenye kusimamia haki na sheria au lolote lile. Sheria ni msumeno ikate pande zote mbili bila kujali huyu wa CCM au wa Chadema ali mradi tu kuna ushahidi tosha wa wizi/ufisadi

Mmh!! Hahah mkuu.

Kutoka moyoni?
 
Lakini jamani tuangalie mbona kama ndogo hivi ni chenji tuu madege mnapiga kwa madola
 
Sinaga unafiki mie kwenye kusimamia haki na sheria au lolote lile. Sheria ni msumeno ikate pande zote mbili bila kujali huyu wa CCM au wa Chadema ali mradi tu kuna ushahidi tosha wa wizi/ufisadi
Kwa mara ya kwanza kusikia kauli kama hii kutoka kwako ili tukiangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kichama tutafika mbali.

Hongera sana mkuu.
 
Acha kuchanganya mada hapa tunazungumzia utafunaji wa pesa wewe unaleta habari nyingine,nadhani ulipata divisheni 0 kwenye mtihani wako wa kidato cha Nne.Uelewa wako ni mdogo sana.
kama wa baba yako
 
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.

Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.

Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.

Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.

Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Wewe kweli kilaza, hayo malipo yalilipwa kwa sababu gani? Haitoshi kusema tu ni kampuni ya mbowe na inaongozawa na shemeji yake, so what?

Halafu yamekusanyana humu eti yanakuja kuhalalisha uozo wa ccm vs chadema. Hahhaaa inekula kwenu
 
KWA HIYO NI SAWA KINA MBOWE KUFISADI PESA ZA WALIPA KODI KWA KUWA KUNA WATU WAMEFANYA HIVYO?
Wewe rudi huko ukajipange na propaganda zako za kijinga, umesema kampuni ililipwa kwani mtu au kampuni kulipwa ndio Ufisadi?
 
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.

Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.

Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.

Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.

Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Dictator anakula vya walevi kiulaini
 
Kwanza naomba kwa heshima na taadhima, admin msiunganishe uzi huu na mwingine.

Ndugu wanajukwaa, kama wote tupendavyo, juhudi za kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya kodi za watanzania ni endelevu na popote pesa hizo zinapokwenda sisi watozwa kodi lazima tuhoji.

Nimeona uzi huku ndani
Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

unaozungumzia ripoti ya CAG kwa mwaka 2016/17ambayo pamoja na mambo mengine inazungumzia pesa zilizolipwa M/S Milestone International Co. Ltd kiasi cha 866,600,000. Kumbuka malipo haya ni kwa mwaka mmoja wa 2016, hatujui miaka mingine ya nyuma, na 2017 na 2018.

Nilichotaka kuonyesha ni kuwa kampuni hii mmiliki wake ni Freeman Mbowe, na Managing Director ni Shemeji yake wa kike aitwaye, Kineneko Mtei mdogo wake Dr. Lilian Mtei, mke wa ndoa wa Freeman Mbowe.

Kwanza hapa kuna mgongano wa maslahi na harufu ya rushwa, haya machache ni kwa mujibu wa ripoti ya msajiri pale penye mashaka, kwa kweli CHADEMA kuna ufisadi, otherwise wangeweka wazi ripoti yao ya fedha wazi tuone matumizi yao kwa ujumla na wanaofaidika na kulipwa pesa hizo.
Maumivu ya kichwa huanza taratiibu na ndio maana mwenyekiti hutaki kuachia chama maana hukwenda kuongoza bali umekwenda kufanya maisha dah kweli mbowe kiboko na kwa style ndio unataka u raisi?? Ili shemeji ashike wizara ya fedha?? Na kampuni yako ndio iwe NIDA mpige pesa?? Kwaheri saccos
 
KWA HIYO NI SAWA KINA MBOWE KUFISADI PESA ZA WALIPA KODI KWA KUWA KUNA WATU WAMEFANYA HIVYO?
Wastaafu huwa hawalipwi mafao yao ya mwezi kwa wakati kutokana na ukosefu wa fedha, je, na ile shule ya Bukoba inayomilikiwa na ccm ambayo imekarabatiwa kwa michango ya tetemeko kisha iuziwe serikali! Huu ni utapeli, kama kuuzwa ingeuzwa kabla ya ukarabati na si baada.
 
Freeman mboe
John pombe magufuli
wote wakahojiwe police Kwa matumizi mabaya ya kodi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom