jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
- Thread starter
- #21
wawe na amani tushauzia wengi sana magari humu akifika ofisini atapewa utaratibu mzima na documents zake zote anapewa isipokuwa kwenye card yake kutakuwa na majina mawili lake na la microfinance.Mi nawatahadharisha tu wadau, hizi tamaa zimewaacha watu na matatizo sanq
atakapo maliza mkopo wake card yake itabadilishwa na kusoma majina yake yote mawili
karibu