kalanga1
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 318
- 432
LohMilioni 15
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LohMilioni 15
We ulifikiri ni sh ngapi?
Me ndugu yangu alinunua allion mwaka jana kwa 13M plate no DRB. Wee unasema 15 ?? ME NIKAJUA LABDA IMESHIKA KIDOGO. lakini sio kwa 15We ulifikiri ni sh ngapi?
Kainunua showroom? Kwasababu baadhi ya showroom mpaka Milioni 16 wanauza hizi Premio za 1490CCMe ndugu yangu alinunua allion mwaka jana kwa 13M plate no DRB. Wee unasema 15 ?? ME NIKAJUA LABDA IMESHIKA KIDOGO. lakini sio kwa 15
Asee kanunua Allion mill 13. Haina rim, ndani haina tv. Rangi ya silver. Na kainunua showroomKainunua showroom? Kwasababu baadhi ya showroom mpaka Milioni 16 wanauza hizi Premio za 1490CC
Kuipata kwa Milioni 13 kwa showroom ni jambo gumu labda iwe ni bei ya ofa
Basi mambo yamebadilika , jaribu kucheki hiyo showroom aliponunulia hiyo uone ni sh ngapi kwa sasa.Asee kanunua Allion mill 13. Haina rim, ndani haina tv. Rangi ya silver. Na kainunua showroom
Ahsante kwa ushauri bby, nakupenda[emoji7]Basi mambo yamebadilika , jaribu kucheki hiyo showroom aliponunulia hiyo uone ni sh ngapi kwa sasa.
Ila kama budget yako inabana ni bora kuchukua gari ya mkononi yenye number mpya hii utakuta tayari ishaveshwa rim na iko na tairi mpya na radio
Nimeenda outojapan allion na premio napata kwa 12.5....Basi mambo yamebadilika , jaribu kucheki hiyo showroom aliponunulia hiyo uone ni sh ngapi kwa sasa.
Ila kama budget yako inabana ni bora kuchukua gari ya mkononi yenye number mpya hii utakuta tayari ishaveshwa rim na iko na tairi mpya na radio
EeeehAhsante kwa ushauri bby, nakupenda[emoji7]
AsanteAhsante kwa ushauri bby, nakupenda[emoji7]
Umeona comment yangu, nimekwambia auto pale wanasema kwa 12.5 unapata.. Sema kusubiri inahitaji moyo bby[emoji16][emoji7]Asante
Wivu tuhivi shida ni nn
Wivu tu
Ndio autocom bei zao zinakua chini sana sijui hata kwanini.Umeona comment yangu, nimekwambia auto pale wanasema kwa 12.5 unapata.. Sema kusubiri inahitaji moyo bby[emoji16][emoji7]
NATAFUTA USAFIRI AINA YA GARI NINA SH ML.5 CASH MWENYE NAYO PLIZ P.M.Toyota Fortuner
Model year:2013
Engine:1kd
Diesel
Manual
Bei: Milioni 65 (negotiable)
Contact:0658124554
Mashine ya safari hii mkuu usiikose
View attachment 1529192View attachment 1529193View attachment 1529194View attachment 1529195View attachment 1529197
Sawa my loveNdio autocom bei zao zinakua chini sana sijui hata kwanini.
Subiri tu,mvumilivu hula mbivu.
Nicheki WhatsApp 0658124554NATAFUTA USAFIRI AINA YA GARI NINA SH ML.5 CASH MWENYE NAYO PLIZ P.M.