Miliki SUV Bei rahisi kutoka land Rover

Miliki SUV Bei rahisi kutoka land Rover

Hiyo aliyoleta muanzisha Uzi ni toleo la pili, na hii hapo chini ni toleo la kwanza ambazo nyingi watu walizipaki baada ya kusumbua.
View attachment 2193068
Bei ya injini Kwa Sasa sijaua inacheza ngapi?
Hii gari kuikuta kwa sossy magari inauzwa million moja na nusu ni swala la kawaida kabisa😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaona halali kuuziwa harrier 32milioni na ukianguka ni karatasi tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
Swala sio kuuziwa Harrier 32M mzee, ishu ni matunzo ya gari yapoje? Watu wananunua reliability from Toyota sio kingine kumbuka gari unanunua mara moja ila utaishi nalo miaka mingi.Unataka spear huwezi ikosa ndani ya masaa 24!

Bei ziko competitive sana unataka kipuri kwa emergency badala ya kufunga cha 250,000 unanunua cha 70,000 unasogeza siku.
 
Swala sio kuuziwa Harrier 32M mzee, ishu ni matunzo ya gari yapoje? Watu wananunua reliability from Toyota sio kingine kumbuka gari unanunua mara moja ila utaishi nalo miaka mingi.Unataka spear huwezi ikosa ndani ya masaa 24!

Bei ziko competitive sana unataka kipuri kwa emergency badala ya kufunga cha 250,000 unanunua cha 70,000 unasogeza siku.
Umeongelea "Availability" na "Convenience" hujaongelea "Reliability".
 
Manina madalali....
Lugha zenu mnazijua wenyewe...Freelander ya mjerumani....toleo la....
Hapo sasa, Ingia kichwakichwa...
 
Hizi gari za miaka hiyo si ndio ambazo waziri wetu mkuu anataka kupeleka muswaada bungeni kuwa ziwe marufuku kuingizwa nchini!
Waziri anapotoshwa na wanaotakiwa kumpa ushauri, Tatizo la ajali za Tanzania ni miundombinu sio uzee wa magari

Safety features kwenye magari haijabadilika sana over years, Abs , Ebd , Ebs, Airbargs, Traction control , etc zipo kwenye magari karibu miaka 20 au zaidi, kinachobadilika sana kwenye magari ni emission controls ambayo ipo regiulated ma euro laws
Kwa bahati mbaya hizi euro emmision laws hazituhusu kabisa sisi third world , leo hii kwa mfano huwezi nunua brand new euro 6 scania na ukaileta Tanzania ,na hata hao saab scania hawawezi kuagiza na kuileta euro 6, kwa sababu itabidi waiuze bila warranty. Gari nyingi wanazouza mpya hata hii next gen ni euro 3 varriant , na euro 3 ni tech iliyotumika ulaya miaka ya 2001 .
 
Waziri anapotoshwa na wanaotakiwa kumpa ushauri, Tatizo la ajali za Tanzania ni miundombinu sio uzee wa magari

Safety features kwenye magari haijabadilika sana over years, Abs , Ebd , Ebs, Airbargs, Traction control , etc zipo kwenye magari karibu miaka 20 au zaidi, kinachobadilika sana kwenye magari ni emission controls ambayo ipo regiulated ma euro laws
Kwa bahati mbaya hizi euro emmision laws hazituhusu kabisa sisi third world , leo hii kwa mfano huwezi nunua brand new euro 6 scania na ukaileta Tanzania ,na hata hao saab scania hawawezi kuagiza na kuileta euro 6, kwa sababu itabidi waiuze bila warranty. Gari nyingi wanazouza mpya hata hii next gen ni euro 3 varriant , na euro 3 ni tech iliyotumika ulaya miaka ya 2001 .
Mbali na kuangalia au kusingizia uzee wa magari ndo chanzo cha ajali pia wanasema gari zee linahitaji vipuri vingi ili kulifanya liwe barabarani na vipuri hivyo vinakomba pesa ya kigeni kwenye kuvileta nchini

Kikubwa hatujafikia huo uchumi wa kuzuia gari zenye umri WA zaidi ya miaka kumi kuingia nchini
 
Back
Top Bottom