Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kama hii kiasi gani nivunje kibubuš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hii kiasi gani nivunje kibubuš¤
Hizo hapo bei mkuuKama hii kiasi gani nivunje kibubuš¤
Gari si mafuta tuNiliaanisha hiyo hiyo ngoja nika edit
Unless uwe hujawawahi kutumia magari economy , anything burnig petrol wth engine cc hizo laima iwe gass guzzler .
300m+ TZSKama hii kiasi gani nivunje kibubuš¤
Jiheshimu basi na wewe khaa!Hizo hapo bei mkuuView attachment 2199795
Si ndio maana zuri sanaComfortyand powerful lakini linakunywa mafuta hasa, mno yani
Eti vigoda! Hahahhaha. Unakuta mtu ananunua passo ya piston 3 halafu anataka comfortabilityWanakimbilia vigoda vya 1.0L mpaka 1.3L halafu wanalalamika haviko comfortableš
Raha ya kumiliki gari inywe mafuta umeoa mwanamke mzuri huwezi kuogopa matumizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si ndio maana zuri sana
ndio ushangae sasaEti vigoda! Hahahhaha. Unakuta mtu ananunua passo ya piston 3 halafu anataka comfortability
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nunua Land rover kama unataka uhusiano wa kudumu na fundi gereji. Kabla hamjatokwa povu google it's a world-known fact LR is the most unreliable car.
hiyo A niuzie mimiInshallah mwaka huu Mungu akinijalia lazima nivute SUV ya Diesel powered engine.
Maisha ya kununua namba A sasa itakuwa historia, nami niendeshe gari niliyoimport mwenyewe.
Landrover Discovery 2 imekaaje?reliability sio kitu cha kuhofia kwa Toyota mkuu, a few breakdowns record for 98% fleet of their cars hata hizo tunazochukua kwenye 2nd hand markets
Umeua kiongozi. Mtu anadai comfort kwenye Suzuki Hustler au Kei ya cc650 huku wakizipambanisha na gari kubwa za mzungu!Wanakimbilia vigoda vya 1.0L mpaka 1.3L halafu wanalalamika haviko comfortableš
Discovery 2 ni gari imara kwa kiasi chakeLandrover Discovery 2 imekaaje?
Sio kweli kenya wanakomaa honda fit,mazda demio,nissan march kwa watu wa kipato cha chini ni almost milion 13.5 uahuru kwao n rafiki sio km bongoKenya huwezi kabisa kuingiza gari yenye umri wa zaidi ya miaka 8, hakuna kabisa option hata ya kulipa uchakavu
Ndo mana masikini kenya hawezi hata kuota ndoto za kumiliki gari , gari ya bei rahisi kabisa kenya ni karibu milioni 26 za kibongo
Hizo gari zote ulizotaja zinatakiwa zisiwe na umri wa miaka saba toka kutengenezwa, yani mazda demia ya 2015, honda fit ya 2015 n.k hebu angalia kwenye soko uone gari za miaka hiyo zinagharimu vipSio kweli kenya wanakomaa honda fit,mazda demio,nissan march kwa watu wa kipato cha chini ni almost milion 13.5 uahuru kwao n rafiki sio km bongo
Sent using Jamii Forums mobile app