ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Misa akikupa utakataa?Hapo kwa singo Maza siingilii.Ila mwanaume mkamilifu anaemjua hamisa halafu akawa nae jua Hana kinyaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misa akikupa utakataa?Hapo kwa singo Maza siingilii.Ila mwanaume mkamilifu anaemjua hamisa halafu akawa nae jua Hana kinyaa.
Kwanza siwezi vjanakike vya kujitutumua vile.Misa akikupa utakataa?
Sasa hivi kipaumbele cha kwanza cha Uto ni harusi ya Hamisa. Viongozi, watendaji na wachezaji wote wako bize kushona suti, kujifunza dance za kuingilia na kusaka mishangazi ya kuambatana nayo. Mnaowazia ubingwa wowote msimu huu mnapoteza muda wenu.Haya maigizo ya Aziz Kii na Hamisa Mobeto hayana kabisa afya kwa klabu yetu ya Yanga, na hasa kipindi hiki cha kuutetea ubingwa wa Ligi kuu na ule wa kombe la shirikisho la CRDB!
Shida kubwa timu ikifanya vibaya, au hata yeye Aziz Kii mwenyewe ikatokea akacheza chini ya kiwango kwenye baadhi ya mechi, maadui zetu watapata cha kusema! Haya mambo alitakiwa ayafanye wakati wa mapumziko baada ya msimu wa Ligi kufikia tamati.
Heeee kumbeee baba yupo bongo auSingo maza ya watoto wawili roho imuume nani?