Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Angekomaa nakazi alie someaMilionea Gathuo Gichuru raia wa Kenya amejikuta akiangukia kwenye uuzaji mitumba baada ya kufilisika kutokana na kumaliza pesa kwenye kampeni za kuwania kiti cha Senate eneo la Laikipia mara mbili bila mafanikio....
Hii inanikumbusha bwana Valentine Tressa wa Sierra Leone kutoka ikuru kama rais ad kwenye vilabu vya gongo za kugongea[emoji17]
Moral of the story no one in the world loves u...they love the money u have.Milionea Gathuo Gichuru raia wa Kenya amejikuta akiangukia kwenye uuzaji mitumba baada ya kufilisika kutokana na kumaliza pesa kwenye kampeni za kuwania kiti cha Senate eneo la Laikipia mara mbili bila mafanikio...
This time atatoboa for real.....Asikate tamaa kunasiku atatoboa katika ndoto yake
Life is about risk taking, he took a risk on politics and he lost, he has fulfilled his desire. Without risk taking life can be boring.
Kuna kale ka usemi ka kizungu kanakosema 'Golden chance never come twice',haka nadhani ndio kila akikafikiria stress zinaendelea kumuandama...Asikate tamaa kunasiku atatoboa katika ndoto yake