Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
- #21
kalipe deni la watu bana.
alipe deni kwanza ndio tufunge mjadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kalipe deni la watu bana.
Amezoea kuwadanganya watoto wa kike ili wamuonge huyo Pumba za Hapa Dar ameshalost huyo bora auze tu kota.
Duuh unakopa uvae......
umaarufu kazi
Duuh unakopa uvae......
Kuna watu wanakopa ili wanunue magari!bora anayekopa ili avae asitembee uchi...
"Sikopi nguo na kamwe siwezi kukopa pamba!kuvaa ugonjwa wangu na pesa yangu huishia katika pamba!ningeambiwa nadaiwa na mademu kwa kukopa penzi ningeamini ila siyo nguo"....maneno ya mkali wa bongo movie hemed PHD baada ya kumvutia waya kutaka kujua je shutuma hizi ni za kweli!
Mambo mengine ni kichekesho kwani ajabu yeye kudaiwa jaman tuache ushabiki.ktk hii dunia watu tunategemeana kwa mengi tu.angalia watu malufu wanadaiwa,klabu malufu zinadaiwa ht matajili nao wanadaiwa hvy yeye kudaiwa sio ajabu.ht mi nadaiwa kwan wewe hudaiwi?
Mkali mwenyewe nilimvutia waya baada ya kuona hili bandiko!!!watu wazushi bab kino maduka ya nguo yanayokick kwa kim na robby one halafu hawakopeshagi nguo hata uwe mwana kiasi ganialihojiwa na chombo gani icho cha habari??
Huwezi kukubali kama kweli unadaiwa na kwa maelezo yako wewe ndiwe PHD mwenyewe. Ila ujumbe umefika so to make it short kalipe deni la watu then uendelee kuuza hiyo sura yako."Sikopi nguo na kamwe siwezi kukopa pamba!kuvaa ugonjwa wangu na pesa yangu huishia katika pamba!ningeambiwa nadaiwa na mademu kwa kukopa penzi ningeamini ila siyo nguo"....maneno ya mkali wa bongo movie hemed PHD baada ya kumvutia waya kutaka kujua je shutuma hizi ni za kweli!
Kuna watu wanakopa ili wanunue magari!bora anayekopa ili avae asitembee uchi...
Sioni tatizo kukopa gari...mmmh nguo kama hoja asikae uchi, angenunua hata mtumba sidhani ingemcost 1m
Mkali mwenyewe nilimvutia waya baada ya kuona hili bandiko!!!watu wazushi bab kino maduka ya nguo yanayokick kwa kim na robby one halafu hawakopeshagi nguo hata uwe mwana kiasi gani