Milioni 16 Zachangia Ujenzi wa Zahanati 13 Bahi, Dodoma

Milioni 16 Zachangia Ujenzi wa Zahanati 13 Bahi, Dodoma

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MILIONI 16 ZACHANGIA UJENZI WA ZAHANATI 13 JIMBO LA BAHI, DODOMA

Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo tarehe 03 Mei, 2023 alifika Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe kwa lengo la kutembelea ujenzi unaoendelea wa Zahanati ya Mapinduzi ambayo ni miongoni mwa zahanati ya 13. Zahanati zote 12 zimesha na Mbunge alitoa Tsh. Milioni 16 za mfuko wa Jimbo.

Tarehe 6 Mei, 2023 siku ya Jumamosi Mbunge ataungana na wananchi wa Mapinduzi kumwaga zege kwa ajili ya kuweka jamvi. Mhe. Nollo anapenda kutoa shukurani za dhati kwa Wananchi wote wa Bahi kwa ushirikiano wanaompatia kwa kujitolea kwenye kazi za maendeleo.

344579781_1368661200368436_6337666988622091386_n.jpg
344378407_806938511035465_4600915641221826675_n.jpg
344826989_783731949683468_7892973325004281063_n.jpg
 
Miloni 16 kujenga Zahanati 13 labda Zahanati za tembe.
 
Back
Top Bottom