Milioni 16 Zachangia Ujenzi wa Zahanati 13 Bahi, Dodoma

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MILIONI 16 ZACHANGIA UJENZI WA ZAHANATI 13 JIMBO LA BAHI, DODOMA

Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo tarehe 03 Mei, 2023 alifika Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe kwa lengo la kutembelea ujenzi unaoendelea wa Zahanati ya Mapinduzi ambayo ni miongoni mwa zahanati ya 13. Zahanati zote 12 zimesha na Mbunge alitoa Tsh. Milioni 16 za mfuko wa Jimbo.

Tarehe 6 Mei, 2023 siku ya Jumamosi Mbunge ataungana na wananchi wa Mapinduzi kumwaga zege kwa ajili ya kuweka jamvi. Mhe. Nollo anapenda kutoa shukurani za dhati kwa Wananchi wote wa Bahi kwa ushirikiano wanaompatia kwa kujitolea kwenye kazi za maendeleo.

 
Miloni 16 kujenga Zahanati 13 labda Zahanati za tembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…