Milioni 2 hufa kila mwaka kwa ukimwi

Milioni 2 hufa kila mwaka kwa ukimwi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
IMEFAHAMIKA kuwa watu wapatao milioni mbili hufa kila mwaka kutokana na maradhi ya ukimwi nchini Tanzania imefahamika.

Hayo yalifahamika siku ya kuadhimisha siku ya ukimwi duniani ambapo nchini Tanzania yaliadhimishwa mkoani Tanga kitaifa.


Akitoa takwimu hiyo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema ugonjwa huo bado ni tatizo nchini na inateketeza nguvu ya taifa nchini.


Hivyo amewataka wachukue tahadhari na kuzidi kuondoa maovu yanayosababishwa kuleta ugonjwa huo nchini ikiwemo kuondoa ngono zembe zisizo za lazima.

Idadi hiyo kitaifa bado inaonekana baadhi ya watanzania bado hawachukui tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.


http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3681518&&Cat=1
 
katika hhao milioni mbili hakuna hata mmoja memba wa jf? tunahitaji na statistic ya memba waathirika wa jf , tusje tukauvaa mkenge.
 
katika hhao milioni mbili hakuna hata mmoja memba wa jf? tunahitaji na statistic ya memba waathirika wa jf , tusje tukauvaa mkenge.
Kwani HIV inaambukizwa kwa kujibu hoja au kutoa hoja hapa jamvini?Au nawe upo kati ya wale wanaotafuta wenza hapa jamvini na hawana uthubutu wa kupima
 
Ukitaka kuona hii mambo ni ngumu, utaona wangapi watachangia hii mada ya muhimu hivi!...we subiri, kama hii thread haijafa na michango< than 10!
 
Kwani HIV inaambukizwa kwa kujibu hoja au kutoa hoja hapa jamvini?Au nawe upo kati ya wale wanaotafuta wenza hapa jamvini na hawana uthubutu wa kupima
hapa greti thinka unaonekana umekasirika sana! acha nikuapolojaizi. sore greti thinka foo my veri schupid komenti.
 
Hizi ni takwimu za kupika. Haiwezekani 2mil watu wafe kila mwaka. Hebu piga hesabu, mwaka 2002 tulikuwa Mil 38 nasasa tunakaribia mil 40 halafu unasema tunakufa kila mwaka 2mil UONGO MTUPU
 
IMEFAHAMIKA kuwa watu wapatao milioni mbili hufa kila mwaka kutokana na maradhi ya ukimwi nchini Tanzania imefahamika.

Hayo yalifahamika siku ya kuadhimisha siku ya ukimwi duniani ambapo nchini Tanzania yaliadhimishwa mkoani Tanga kitaifa.


Akitoa takwimu hiyo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema ugonjwa huo bado ni tatizo nchini na inateketeza nguvu ya taifa nchini.


Hivyo amewataka wachukue tahadhari na kuzidi kuondoa maovu yanayosababishwa kuleta ugonjwa huo nchini ikiwemo kuondoa ngono zembe zisizo za lazima.

Idadi hiyo kitaifa bado inaonekana baadhi ya watanzania bado hawachukui tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.


http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3681518&&Cat=1

Guys, something is very fishy with this figure. If its true that 2m people die each year, at the current birth rate of 3%, then almost surely the Tz population should have been exponentialy decreasing! Either something is wrong with this figure or the reporter misquoted it.
 
Guys, something is very fishy with this figure. If its true that 2m people die each year, at the current birth rate of 3%, then almost surely the Tz population should have been exponentialy decreasing! Either something is wrong with this figure or the reporter misquoted it.

Huenda dat si sahihi. Lakini Ishu hapa ni kuona jinsi gani ngoma inatisha na inaua kweli. Yaani watu wanakufa kinoma... Millini !!! Kama hatutabadili tabia tutaendelea kuangamia tu!!! UKIMWI upo (100%).
 
TAKWIMU HIZO NI ZA KUFUKIRIKA ZAIDI KULIKO KUSADIKIKA. WANATAKA KUPATA MIJIHELA TU HAWANA LOLOTE HAO. angalia ukuaji wa idadi ya watu Tanzania, halafu angalia mwaka 2002 tulikua mil38 na mwaka 2009 tunakadiliwa kuwa 40mil. hao watu 2mil wanaokufa kila mwaka inamaana wanaozaliwa ni wangapi kila mwaka. Tatizo la WATZA huwa tupika sana TAKWIMU. Ukitaka uone kichekesho. Nenda Mkoa wowote kaombe Takwimu zozote za Mkoa Mzima pale kwa Mkuu wa Mkoa, halafu nenda kila Wilaya kaombe Takwimu kwa DC, kisha nenda kwa Mkurugenzi. zijumuishe takwimu zote ulizopata Wilayani ili uone na zile ulizopata Mkoani. Utaona vichekesho sana. hata Takwimu atakazokupa DC zitatofautiana na Takwimu atakazokupa Mkurugenzi hiyo ni Ndani ya Wilaya hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom