Milioni 2,ntaanza hivi!!

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Ndo nimemaliza chuo this year. Ajira hazipo na kama zpo hazitatimiza ndoto zangu za kwenda brazil kucheki world cup! Chumba kitupu kipo hapa home ndo nataka iwe ofice yangu! Nitaomba kwa family 2 milions yani aprox ya mshahara wa miezi 4 ya graduate!
 
1 milion ntanunua boda boda used. Laki 5 ntanunua kuku wale wa malawi na nitawafuga kisasa .kwa msaada wa jf memberz ntafanikiwa. Laki 1 ntanunua eka 1 ntataftia hati ili niweze pata mkopo. Mapato ya boda boda ntatumia kununua msosi wa kuku na madawa
 
zitaaaki laki4 ,hapo ntatoa laki 1 kwa ajili ya kuandaa chumba cha kufugia huku inayobaki nh emergency ya matengnezo ya pikipiki. vp waungwana hapa sitoki kimaisha kweli! welcome wajasiriamali!
 
Mimi nimeanza hivi.
Laki 4 na themanini nimekodi fremu kwa miezi 6,laki 5 nikanunua till ya tigo pesa Na 1 na nusu till ya M pesa,nikatenga laki 6 Kama mtaji,biashara imeanza maana Fremu haikuhitaji matengenezo.sasa hivi najipanga nipate refrigerator ili niweke vinywaji baridi then niweke vyakula Kama mchele,maharage Na unga Wa ugali.Nitajipanga liwe duka kabisa maana maeneo nlopata Fremu hakuna duka.mpaka sasa nimetumia Kama 1.8 hivi
 
gud that entreprenegro. unapata customers wa kutosha hapo? kaza sana tutatoka tu
 
Yes mwanzo sio mbaya.nilichagua a good location kuna kituo cha daladala Na mama ntilie wengi.so kwa biashara Yangu naamini itafanya vizuri.
Ni kutumia fursa tu maana kuna wengne hata huo mtaji Wa 2m kuupata ni shida.
 
Usisahau kuweka na vocha ingawaje faida yake ni ndogo lakini vocha ni kivutio kikubwa sana cha kumleta mteja ktk eneo lako la biashara hivyo ni rahisi kununua na bidhaa nyingine.
 
nimewasoma wadau,laiti kama ningewapata vijana kama nyie tungeanzisha kampuni kubwa itufaidishe,tatizo la graduate wengi ni wabinafsi sana!
 
Weka na tigo rusha uwe unawaungasha na mini kabang Kwa sh 700 Kwa wanao hitaji
 
Record keeping ucsahau, Ila hongereni Kwa graduate kuwa Na mawazo ya kujiajiri
 
Tigo Rusha nishaweka najipanga nipate mashine ya max malipo au selcom nianze kuuza na umeme
 

kaka hongera jwa kuthubutu na hapo mi pia umenifungua macho natupa bahasha pembeni za kaki na nianze pigania mkopo kwa njia yoyote nami ntarudi kuonyesha mchanganuo wangu. Graduate wa aina hiyo ndio tunaowataka. Ila je nina swali juu ya security ya till za tgpesa na mpesa maana cjajua umeinunua kwa mtu na vp kuhusu umiliki kuna process zipi za kufuata ili kujihakikishia kuwa ntakuwa mmiliki na hamna ujanja wowote watu wanaoweza nicheza hapo?
 
nimewasoma wadau,laiti kama ningewapata vijana kama nyie tungeanzisha kampuni kubwa itufaidishe,tatizo la graduate wengi ni wabinafsi sana!

Sasa tujiunge hapa ili tuanzishe ajira zetu wenyewe na wadogo zetu kwa siku zijazo. Naanza kuorodhesha:-
  1. Mimi
  2. RC
  3. Kapolo
 
Hongereni sana wadogo zangu,huo ni uamuzi sahihi kabisa haya maisha sio yakujaribu nikufanya,usikhofie changamoto hizo ndio zinakukomaza,
Usia wangu mmoja pendeni sana kufanya kazi zenu kwa uaminifu na ukweli na uwazi,msisahau kumtanguliza mungu mbele,kingine jiepusheni kabisa na ngono kaeni nayo mbali,najua mambo yakianza kunyooka mtapata vicheko vingi sana kwa kina Dada waepukeni maisha ni safari ndefu yenye kila aina ya milima na miteremko,niwaombee kila la kheri katika kazi zenu.
 
Ndo nimemaliza chuo this year. Ajira hazipo na kama zpo hazitatimiza ndoto zangu za kwenda brazil kucheki world cup! Chumba kitupu kipo hapa home ndo nataka iwe ofice yangu! Nitaomba kwa family 2 milions yani aprox ya mshahara wa miezi 4 ya graduate!

mkuu hongerah!ni mawazo mema sana hayo!
So far ninafikiria kwenda kulima Dodoma ufuta na mahindi!nimepta chanzo kimoja kimenihakikishia upatikanaji wa heka nyingi kwa msaada wa serikali ya kijiji!
 
Yes mwanzo sio mbaya.nilichagua a good location kuna kituo cha daladala Na mama ntilie wengi.so kwa biashara Yangu naamini itafanya vizuri.
Ni kutumia fursa tu maana kuna wengne hata huo mtaji Wa 2m kuupata ni shida.

Ongeza na biashara ya kutoa change kwa makondakta japokuwa ni biashara haramu (huwa wanafanya anakupa buku unampa 900 au 800 ambazo ni sarafu)
 
Sasa elimu hz tulitakiwa tuwe tumepewa tangu darasa la 7! Mwanafunzi wa darasa la 7 ambae hakupata bahati ya kuendelea angeanza hivo, sasa hv angekuwa mbali!
Na wengine wapo mbali kweli kiasi kwamba kwa wale waliopiga shule na wepesi kukata tamaa wanaweza kujuta kwanini walienda shule but all in all kila mtu ana nafasi ya kufanikiwa hasa ukizingatia Watz tuliowengi tuna umasikini wa kifedha tu ila kiuchumi tupo vizuri kama tutaamua kuchukua hatua tutatoka katika kiwango cha kumudu gharama za maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…