Distinction
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 745
- 395
kimaandishi ni kweli haipo, ila kimatamshi gari hiyo ipo nenda rombo utazikuta nyingi tu pale..
hakuna gari inayoitwa kruger
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna gari inayoitwa kruger
Mkuu Kruger iko vizuri sana alafu kwa masafa iko pouwa sanaHabari wadau.
kwa anaefahamu magari naomba ushauri nina mil 25 nahitaji gari ndogo ya kutembelea. Ni gari ipi nzuri kati ya rav4, kruger na harrier. msaada wenu tafadhali!
Habari wadau.
kwa anaefahamu magari naomba ushauri nina mil 25 nahitaji gari ndogo ya kutembelea. Ni gari ipi nzuri kati ya rav4, kruger na harrier. msaada wenu tafadhali!
Nilijua tu watu kama Nyinyi hamkosekaniUmejenga kwanza?
We ni mwizi uliekubuhu yaani unataja pesa ile ile aliyotaja yeye. ?!![]()
![]()
![]()
![]()
chagua moja kati yahizi nikupe kwa ml 25.hata rav4 miss Tanzania ya ml 25 ninayo .![]()
Kuwa na pesa hakumaanishi unajua kila jambo 😀Huwezi kuwa na milioni 25 halafu uje kuomba ushauri humu hebu kasikilize mahubiri huko
Mshana jr haudiki na haya mambo mkuu unampendelea muone baada ya kununua majirani wasilipige kimbola
Zile ni kuanzia 16 million kwenda juuNunua Rav4 Kili time zile za miaka 2003/4 hivi ni imara,haili sana mafuta,rahisi kuihudumia. Kwa hela hio na chenji inabaki.