Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii movie kaliTaarifa zinasema alitaka apewe bilioni moja, jamaa wakagoma, wakasema wanaenda kumsema kwa mama, ili kuwawahi, akaamua ajilipue
Mtoto wa Rubani hana shida ......300mil ndogo sana anataka 1bilUkatae 300m TZS halafu usubiri pensheni 400m TZS baada ya miaka mitano? Halafu hizo 300m zinafananaje?
Kwanza nahama mtaaMilioni 300 nikizipata hata mtaan watajua
Sizitaki Mbichi hizi!Ukatae 300m TZS halafu usubiri pensheni 400m TZS baada ya miaka mitano? Halafu hizo 300m zinafananaje?
Watu hawaingii kwenye siasa sababu ya mshahara au NSSF ila POWER kama ingekua mshahara sidhani Gwajima au Ridhiwan angeingia kwenye siasaUkatae 300m TZS halafu usubiri pensheni 400m TZS baada ya miaka mitano? Halafu hizo 300m zinafananaje?
Hapana alikataa sababu huo mtaa wanakaa watu maarufu kina Davis Mosha, Lugumi, Tibaijuka na vigogo kibao so hakuna pesa angehongwa na sheli ambayo asingeweza kuipata akitetea wale vibosile.Taarifa zinasema alitaka apewe bilioni moja, jamaa wakagoma, wakasema wanaenda kumsema kwa mama, ili kuwawahi, akaamua ajilipue
HahahaaHapana alikataa sababu huo mtaa wanakaa watu maarufu kina Davis Mosha, Lugumi, Tibaijuka na vigogo kibao so hakuna pesa angehongwa na sheli ambayo asingeweza kuipata akitetea wale vibosile.
Na kama angehongwa ingemtokea puani maana mtaa imejaa vibosile ila ingekua huko Zakheem angepokea tu na wala kusingekua na kelele.
Hela ilkua ya moto iyo tena bibi tibaijuka kasimamia shoo utazani ana endaga kuchezea apa sheliHapana alikataa sababu huo mtaa wanakaa watu maarufu kina Davis Mosha, Lugumi, Tibaijuka na vigogo kibao so hakuna pesa angehongwa na sheli ambayo asingeweza kuipata akitetea wale vibosile.
Na kama angehongwa ingemtokea puani maana mtaa imejaa vibosile ila ingekua huko Zakheem angepokea tu na wala kusingekua na kelele.