Milioni 35 itakamilisha ujenzi wa nyumba yangu?

Milioni 35 itakamilisha ujenzi wa nyumba yangu?

Na mimi najazia mkuu

Boma + msingi = 10m
Mashimo ya chooo = 2.0m (inaweza kuzidi hadi 3m)
Kupaua + blundering = 8m
Rough floor = 800k
Magrill = 2M (inategemea na design)
Plumbing phase 1 = 700k (vyoo vikiwa vingi inazidi)
Wiring phase one = 600k
Door frames = 700k
Plasta ndani na nje = 3.5 M (inategemea na ramani)
*kumbuka haya ni makadirio yanaweza yasiwe sahihi.
*Makadirio haya ni kwa nyumba isiyozidi sqm 150
Ujawek Total mkuu
 
Habari wakuu,

Kwa wataalamu wa ujenzi milioni 35 itaifikisha nyumba hatua gani? Ni nyumba ya vyumba 3 kikiwemo cha master, dining, jiko na stoo.
Nyumba inaisha 90% ukiwa siriasi na usimamizi nje na hapo utashangaa umeishia njian
 
Na mimi najazia mkuu

Boma + msingi = 10m
Mashimo ya chooo = 2.0m (inaweza kuzidi hadi 3m)
Kupaua + blundering = 8m
Rough floor = 800k
Magrill = 2M (inategemea na design)
Plumbing phase 1 = 700k (vyoo vikiwa vingi inazidi)
Wiring phase one = 600k
Door frames = 700k
Plasta ndani na nje = 3.5 M (inategemea na ramani)
*kumbuka haya ni makadirio yanaweza yasiwe sahihi.
*Makadirio haya ni kwa nyumba isiyozidi sqm 150

Plumbing 700k fundi na vifaa big NO


Wiring 600k fundi na vifaa big No

Kupaua sema ndo 8m


Plundering huo ni mzik mwingine unaweza kula ata 3m tena


Mengine unakaribia though makadirio yako hayamuwek fundi
 
Plumbing 700k fundi na vifaa big NO


Wiring 600k fundi na vifaa big No

Kupaua sema ndo 8m


Plundering huo ni mzik mwingine unaweza kula ata 3m tena


Mengine unakaribia though makadirio yako hayamuwek fundi
Uko vizuri kwenye hesabu, wengi watakao bishia hiyo hesabu hawajawahi jenga. Kuna gharama za tiles nimetumiwa hapa naona bei yake inakimbizana na gharama za kupaua 😀
 
Waweza ... angalia hizi hapa nyumba kutoka ktk website yetu... siwezi weka zote!

Screenshot_20231128-170620.jpg
Screenshot_20231128-170628.jpg
Screenshot_20231128-170635.jpg
Screenshot_20231128-170652.jpg
Screenshot_20231128-170704.jpg
Screenshot_20231128-170716.jpg
Screenshot_20231128-170731.jpg
Screenshot_20231128-170737.jpg
Screenshot_20231128-170749.jpg
Screenshot_20231128-170808.jpg
Screenshot_20231128-170813.jpg
Screenshot_20231128-170850.jpg
Screenshot_20231128-170902.jpg
Screenshot_20231128-170913.jpg
Screenshot_20231128-170936.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20231128-170902.jpg
    Screenshot_20231128-170902.jpg
    334.8 KB · Views: 16
Huku JF kila mtu ni tajiri, amejenga nyumba ya tzs 100m kwenda mbele, sasa kuwa makini.
- Kuna watu wanauza nyumba ya vyumba vitatu kwa hiyo hiyo 35m huko Chamazi, ikiwa imekamilika, bila fensi.

Kama unalo eneo tayari;
  • Kusimamisha boma hakuwezi kuzidi 10m
  • Kufunika na blunder kama sio contemporary, pambania 8m, la, inakuwa chini ya hapo
  • 12m iweje kwenye kuziba matundu na plumbing
  • 5m itupie kwenye plaster na umeme.

Ukibana vizuri, unaweza kupiga hata white cement flani hivi.

Kama unayo 35m cash, unahamia vizuri tu, SI NDIO MAISHA yetu sisi wa hali hiyo.

Usisahau 35m hiyo hiyo, mwenzako anatungua Forester!
Forester ndo maisha
 
Back
Top Bottom