The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kuna mtu kaniomba ushauri hapa kwamba ana milioni 35 anahitaji gari nzuri ila isiwe vanguard ama harrier.
Mimi sio mtaalam wa magari, naomba mnaojua magari mnipe mawazo nikampe mshikaji.
Ahsante.
Mimi sio mtaalam wa magari, naomba mnaojua magari mnipe mawazo nikampe mshikaji.
Ahsante.