Milioni 35 mtu unapata gari gani nzuri

Milioni 35 mtu unapata gari gani nzuri

BK315736_860d4b.jpg

Huna haja ya kuchoma mamilioni yote hayo chukua hako ka mazda hakazidi milioni 20 zimgine mnunulie mchepuko ka gari au binti yako aliyeko hapo CBE
 
Aiseee, huu uzi nimeanza muda mrefu kuuruka ila kila nikiingia jf naukuta umo juu juu. Nimeamua nifungue japo sina ushauri ata bei za baiskeli zinanipita kushoto!

Watu wana hela bwana, yani natamani kwenye hiyo 34mil nipewe ata 200k niifanyie makubwa :nyieeeee🤔🤔 cjui wengine tuliumbwaje🤗
 
Back
Top Bottom