Milioni 35 mtu unapata gari gani nzuri

Aiseee, huu uzi nimeanza muda mrefu kuuruka ila kila nikiingia jf naukuta umo juu juu. Nimeamua nifungue japo sina ushauri ata bei za baiskeli zinanipita kushoto!

Watu wana hela bwana, yani natamani kwenye hiyo 34mil nipewe ata 200k niifanyie makubwa :nyieeeee🤔🤔 cjui wengine tuliumbwaje🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…