- Thread starter
- #61
Shukran mkuu umefikria vizur sanaBusara hapo ni kuigawa hiyo pesa, nusu ya pesa nunua boda boda moja upige kazi mwenyewe na nusu nyingine iliyobakia itulize kibindoni ili kuja kumalizia nyumba yako. Boda boda ikilipa fresh, unajazia pesa uliyovuna+Pesa ya kibondoni na kumalizia nyumba yako.
Heri nusu shari kuliko.......
Usiweke mayai yote kwenye......