Shukran mkuu umefikria vizur sanaBusara hapo ni kuigawa hiyo pesa, nusu ya pesa nunua boda boda moja upige kazi mwenyewe na nusu nyingine iliyobakia itulize kibindoni ili kuja kumalizia nyumba yako. Boda boda ikilipa fresh, unajazia pesa uliyovuna+Pesa ya kibondoni na kumalizia nyumba yako.
Heri nusu shari kuliko.......
Usiweke mayai yote kwenye......
Asante kwa kunipa habar njema mkuuNunua boda moja,.inayobakia fanya finishing ya nyumba..
Salute mkuu ushauri mrua sanaUkitaka kujipima kama we we una roho ya kijasilia Mali ni kuamua kuingiza pesa ktk business.Wengi ni waoga..Ujasilia Mali sio maneno Bali vitendo.Is all about taking risk.Jipime kama unatosha kanunue boda vinginevyo kajenge.Binafsi nshapoteza sana ila sijawahi koma.Mashine can buy house but house can not buy mashine.
Bodaboda inahitaji experience gani mkuu?
principle 1: tumia asset kuzalisha liability
Hapana mkuu siunajua vitu vya kununua kwa watu mpaka utilize akili ili upate kilicho boraNunua bajaji mkuu ivi 4.5 huwezi pata bajaji nzuri au hauko interested nazo?