Milioni 4 inatosha kufungua biashara ya grocery au duka la pombe kali?

Milioni 4 inatosha kufungua biashara ya grocery au duka la pombe kali?

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,159
Reaction score
2,577
Hey, wapendwa

4M inatosha kufungua grocery?

Kama inatosha je vitu gani muhimu?

Na yenyewe inatakiwa kuwa na Vibali au unaweza kufungua kama duka la mangi?

Nafikiria kwenda field ili nipate uzoefu

Yaani niombe kazi hizo sehemu zinazouza pombe, sijuh ni grocery au ni bar.

Ili niweze kufahamu 1,2,3

Kama unafahamu kuhusu hii business basi naomba nipewe uzoefu.
 
Hii biashara ya duka la pombe kali (hard liquor store) naihusudu mno, hasa ikiwa na kijisehemu kidogo (kisebule) Cha wadau wawili watatu kukaa na kupiga vitu.

Kama kuna wadau wenye experience ya hii biashara mtupe uzoefu.
 
Wanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.

Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo

Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.

Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.

Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
 
Wanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.

Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo

Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.

Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.

Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
Kama ni kwa ajili ya kununulia mzigo peke yake inatosha kuanza. Akufuate PM umwelekeze.
 
Wanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.

Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo

Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.

Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.

Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
Wasomi ndio maana biashara zinawashinda.
 
Wanaosema inatosha sijui wanatumia hesabu gani.sasa hivi kreti za soda Pepsi na coca cola kwenye gari ni elfu kumi na Tano hapo hazina maji yake.

Kreti za bia kununua kwa agent wa tbl ni elfu kumi na tatu.kwa agent wa sbl ni elfu kumi na mbili mia Tano hapo hazina maji yake.Sijajua Kwa maeneo utakayokuwepo

Shelf hujatengeneza Bado hujanunua pallet.hujaenda TRA,manispaa,cheti cha TBS,mashine ya EFD na vyeti vya afya Kwa wafanyakazi vinahitajika viwepo, vinapatikana Kwa bwana afya Kwa njia mchongo bila ya hivyo kila mara watakuja kukukagua.

Bado hujalipa Kodi ya fremu.hujanunua thamani za ofisi kama meza na viti.

Matumizi yote hapo juu Bado hujakuwa na bidhaa ya kuuza ili uingize pesa.hapo umepaki pesa ambayo haizalishi.
Duuh
 
Sina uzoefu sana na hio biashara lakini kuhusina na watu wanaojishughulisha na hio biashara wengi ninaofahamiana nao mtaji wao hakuna alie zidi milioni tatu.
Wewe anza uzoefu na ujuzi utaupata baada ya kuanza.
Iwe heri kwako.
 
Back
Top Bottom