Inatosha kabisa mchanganuo ni huu hapa...
1.Leseni ya biashara 80k/100k inategemea na halmashauri...
2. Liquor licence 40k
3. Kiti cha plastik 25k/50k na meza 35/50
4.Crate tupu la bia 12k/20k inategemea na location
5. Crate tupu soda 10k/15k
6.Bia kubwa TBL safari, kilimanjaro, etc bei ya jumla ni 35k/36k
7.Bia ndogo TBL safari, kili, etc bei ya jumla 30k
8. Castle lite, plisner bei ya jumla 28k/29k
9.Eagle ndogo 17k
8.Serengeti kubwa 35k/36
9.Serengeti lite 36k
10.serengeti ndogo 28k
11. Spirit ni kama ifuatavyo Highlife box 54k
12.kvant ndogo nusu 47k
13.konyagi ndogo nusu 39k
14.konyagi kati nusu 81k
15.konyagi kubwa nusu 102k
16.Redds 6@ 12k
17........
Inatosha kabisa