Kwema wakuu,
Nimekaa nikawaza, TZS 5mil kwa kila goli naona kama ni hela ndogo sana. Kwa Serikali kama ya Mama Samia zile ni hela ndogo sana. Pengine hata zingefaa kua ni hela kwa kila mchezaji. Zile ni kama mshahara wa mchezaji mmoja tu hivyo hazileti sana motisha kusema unaipa timu nzima.
Serikali itoe hela za maana. Ikiwezekana ukiacha zawadi ya kila goli basi kuwe na zawadi ya kila ushindi labda 50mil au 100Mil.
Serikali haiwezi kupata hasara kutoa hata 100mil kwa timu moja ikiwa serikali inaweza kupoteza hela kibao tu kwenye issues zingine. Isitoshe timu hizi huziingizia Serikali mapato ya kutosha tu kupitia viingilio vya milangoni.
Timu zitakapofanya vizuri zikafika mbali basi hata mapato yataongezeka kupitia timu za kigeni zitakazokuja hapa kucheza na timu zetu. Toeni hela ya maana watu wafie uwanjani ingawa sio lazima sana.
Nimekaa nikawaza, TZS 5mil kwa kila goli naona kama ni hela ndogo sana. Kwa Serikali kama ya Mama Samia zile ni hela ndogo sana. Pengine hata zingefaa kua ni hela kwa kila mchezaji. Zile ni kama mshahara wa mchezaji mmoja tu hivyo hazileti sana motisha kusema unaipa timu nzima.
Serikali itoe hela za maana. Ikiwezekana ukiacha zawadi ya kila goli basi kuwe na zawadi ya kila ushindi labda 50mil au 100Mil.
Serikali haiwezi kupata hasara kutoa hata 100mil kwa timu moja ikiwa serikali inaweza kupoteza hela kibao tu kwenye issues zingine. Isitoshe timu hizi huziingizia Serikali mapato ya kutosha tu kupitia viingilio vya milangoni.
Timu zitakapofanya vizuri zikafika mbali basi hata mapato yataongezeka kupitia timu za kigeni zitakazokuja hapa kucheza na timu zetu. Toeni hela ya maana watu wafie uwanjani ingawa sio lazima sana.