Milipuko ya ajabu

Milipuko ya ajabu

Agera 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
4,088
Reaction score
4,226
Ee bwana weee..leo usiku wa kuamkia tarehe 23 niliona PT imenipita sehemu speed around 2355
Kufika sa 0000 nasikia milio risasi si risasi mabomu so mabomu Niko mwenyewe sijui nikimbilie wapi nikawa nasubiri nione wanapokimbilia badae nikasema wacha nitoke nione ndo kushangaa anga linameremeta

Kumbe ni mafataki bhna wamepiga pale mwenge (chugastan)

Nahisi itakuwa uzinduzi was sensa

Naomba kuuliza maana nimezipenda bure
Je naruhusiwa nunua na kutumia muda wowote nikitaka? Je zinauzwa wapi? Kuna kuwa na kibali chochote Cha kufanya hayo mambo? Sehemu waliporusha Kuna ma hotel watu wamelala wenye magonjwa yao pia wako nyumba za jirani

Bila taarifa inaruhusiwa kweli? Tena Kama ni sensa Basi iko planned na serikali

Naomba muongozo
 
Naomba kujuzwa kipi kipo behind sensa hii, mbona Kama mambo ya ajabu? Kuhesabiwa ni muhimu mbona Kama wana I hype saaaana. Mara fataki n.k
 
Kwangu hao wajinga wakija nawaambia tumelala Gest familia nzima hvyo taarifa zote tumeacha huko.

Wakitaka kutulazimisha labda waseme Kuna namba inabid tuwe nayo japo n too late.

Wanapiga fataki hayo ninatumizi mabaya ya pesa na bado vijana walivyo wazembe hapa tz watakaa chini ya mti na kujaza details zao na mwishoni hzo simu walizowapa watasema wameibiwa pia msisahau uzi utakuja ws kulaumu hawajalipwa pesa zao
 
Kwangu hao wajinga wakija nawaambia tumelala Gest familia nzima hvyo taarifa zote tumeacha huko.

Wakitaka kutulazimisha labda waseme Kuna namba inabid tuwe nayo japo n too late.

Wanapiga fataki hayo ninatumizi mabaya ya pesa na bado vijana walivyo wazembe hapa tz watakaa chini ya mti na kujaza details zao na mwishoni hzo simu walizowapa watasema wameibiwa pia msisahau uzi utakuja ws kulaumu hawajalipwa pesa zao
Kuna sehemu nilisikia vifaa bado mpaka jana
 
Back
Top Bottom