MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,771
- 4,065
Milipuko yazikumba hoteli Jakarta-Indonesia
Watu tisa kwa uchache wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa katika milipuko ya mabomu iliyozikumba hotel mbili maarufu mjini Jarkata nchini Indonesia.
Milipuko hiyo inayosadikiwa kusababishwa na mashambulizi ya kujitoa muhanga imetokea kwa tofauti ya sekunde chache katika hoteli za Ritz-Carlton na JW Marriott ambazo zipo umbali wa takribani kilometa moja.milipuko hiyo iliyotokea saa 1:30 asubuhi kwa saa za Jarkata sawa na 9:30 alfajiri Afrika Mashariki, iliwakuta wateja wengi wa hoteli hizo wakipata kifungua kinywa.
Mlipuko mwingine uliripotiwa kutokea kaskazini mwa Jarkata muda mchache baadae,
Watu tisa kwa uchache wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa katika milipuko ya mabomu iliyozikumba hotel mbili maarufu mjini Jarkata nchini Indonesia.
Milipuko hiyo inayosadikiwa kusababishwa na mashambulizi ya kujitoa muhanga imetokea kwa tofauti ya sekunde chache katika hoteli za Ritz-Carlton na JW Marriott ambazo zipo umbali wa takribani kilometa moja.milipuko hiyo iliyotokea saa 1:30 asubuhi kwa saa za Jarkata sawa na 9:30 alfajiri Afrika Mashariki, iliwakuta wateja wengi wa hoteli hizo wakipata kifungua kinywa.
Mlipuko mwingine uliripotiwa kutokea kaskazini mwa Jarkata muda mchache baadae,