Alafu tunajiita wazalendo!Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mhuni akasepa na mig-21Uzi umekwisha au bado unaendelea
1998 AlifarikHuyo rubani mwizi bado hai au?
Mnazindua ukuta na vyooMiaka ya 60 watu wanafanya haya,
Sisi mpaka leo bado tunachunguzan uzalendo wetu.
fanya ua-update application yako ya Jamii forum hutopata usumbufu huo tena mkuuWe mbuzi umezingua kuquote uzi mzima
***** walah, wakati wenzetu wanafanya mapinduzi ya kiteknolojia (technological revolution) sisi tunawaita wanawake waliotelekezwa na waume zao kwa Bashite...tutasubir sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha basi ..[emoji23] [emoji23]Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.