Duh sio pw hapo ikikupata kichwan kwisha habar tunakusahau wewe n naniHii bunduki risasi yake ni kisanga.
Cheki iyo suv ilivotobolewa matobo na risasi 4 tuView attachment 2100843
Sent using Jamii Forums mobile app
humu n mchanganyiko mkuu chochote kuhusu military feel free mzeeaaah mi napita zangu fasta najua nitakutana na body pendwa nakutana na silaha za vita.
Mtoa mada nimekukosea nini mie Karucee hebu weka wanajeshi Wewee. Weusi wenye body za kueleweka na wameenda hewani. Kwani hayo magari ya kivita sijui vifaru vinajiendesha vyenyewe?
cc Evelyn Salt
Kwa mishale hiyo hata digidigi huwindii labda vipanya uchuromishale siku hizi imebaki kuwindia digidigi tu [emoji39][emoji39]
Safi kabisa. Twende kazi.Ngoja tukuwekeee
detachment delta na team 6 wanapenda sana kutumia "lillte bird" kwanya ajili quick insertion and extraction.Duuuh,, fast rappelling hyooo,, wahuni wa detachment delta
Sema kama the LZ imepoa,,but LZ ni ya moto black hawk lazima ihusikedetachment delta na team 6 wanapenda sana kutumia "lillte bird" kwanya ajili quick insertion and extraction.
kahelicopter kamoja multirole safi sana.
Ila Mrusi nae anapenda kuonyesha mabavuMaandalizi ya Mrusi kwa Ukraine
View attachment 2101052
View attachment 2101053
View attachment 2101054
Silaha mpya mrusi anataka kuzijaribu kuonyesha nguvu yake
Those people smack bears,, Russians are toughIla Mrusi nae anapenda kuonyesha mabavu