Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can crawl stealthy ,that's so special[emoji39][emoji39]Carlos hathcock the white feather
Hii umbwa ni best sniper ever kwenye marine corps hadi now,,, aliwafanya vibaya sana wavietnam the legend says he could crawl stealthy na bushes around him hazitikisiki,,, they say he have 200+ kills but the confirmed number is 93View attachment 2101185
Ile umbwa achana nayo,,, ili crawl behind enemy lines for 3 fckn days,, kwenda kumuua general wa congs,,,na hakuna aliyemkamata alikuwa so scary had Vietnam waliweka bounty ya 30,000 USD kwa atakaye muua,,, ila sniper wote waloenda kumuwinda they had the same fate,,,just imagine mmoja wa sniper alipigwa on the eye bullet ilipita kwenye scope Yake,,, this mofo was something else [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Can crawl stealthy ,that's so special[emoji39][emoji39]
Mkuu, huwa nafuatilia ile "Victory Day Parade" ya warusi acha kabisa, watapitisha mashine tata za kivita hapo hatari kabisa.Umewah kusikia hata national anthem lake,,,, yaaani ni ubabe juu ya ubabe
Mmarekani anataka kupigana na watu ambao wanaogopwa na bears,,, instead of bear chasing Russians,,, ila ni vice versaMkuu, huwa nafuatilia ile "Victory Day Parade" ya warusi acha kabisa, watapitisha mashine tata za kivita hapo hatari kabisa.
sasa jee hujaona madude yake cku ya uhuru
Mmarekani anataka kupigana na watu ambao wanaogopwa na bears,,, instead of bear chasing Russians,,, ila ni vice versa
Nliona clip moja ya alpha group wanafanya test ya kubend risasi kwenye tank na kuidaka,,[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa wanavunja barafu kwenye bahari iliyoganda halafu wanaogelea bila nguo
Hawa watu balaa na wana mashindano kila December
Sisi tukiingia sekunde kumi unakauka kama mabua View attachment 2101713
View attachment 2101714
sio poaIle umbwa achana nayo,,, ili crawl behind enemy lines for 3 fckn days,, kwenda kumuua general wa congs,,,na hakuna aliyemkamata alikuwa so scary had Vietnam waliweka bounty ya 30,000 USD kwa atakaye muua,,, ila sniper wote waloenda kumuwinda they had the same fate,,,just imagine mmoja wa sniper alipigwa on the eye bullet ilipita kwenye scope Yake,,, this mofo was something else [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Acha kabisa, Special forces za russia hazijulikani sana kwa raia, Alpha group, Spetnaz and the like.Nliona clip moja ya alpha group wanafanya test ya kubend risasi kwenye tank na kuidaka,,
ni mazoezi tu unajua sisi tuna miili migumu na mistahimilivu kuliko wajamaa huku napo wangekuwa wanapiga hayo mazoezi tunaenda nao sawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa wanavunja barafu kwenye bahari iliyoganda halafu wanaogelea bila nguo
Hawa watu balaa na wana mashindano kila December
Sisi tukiingia sekunde kumi unakauka kama mabua View attachment 2101713
View attachment 2101714
ni mazoezi tu unajua sisi tuna miili migumu na mistahimilivu kuliko wajamaa huku napo wangekuwa wanapiga hayo mazoezi tunaenda nao sawa
Nliona clip moja ya alpha group wanafanya test ya kubend risasi kwenye tank na kuidaka,,
Wa-Japan wanakwambia wao hawana "Jeshi" ila wana "Vikosi vya Ulinzi", ni baada ya kulambishwa dume pale Hiroshima na Nagasaki.Wenzetu hawana masihara kwenye kuspend kwa ajili ya ulinzi wa mataifa yao View attachment 2101801